nipo hapa Marekani kwa takribani 5years.nafuatilia muziki wa bongo na nnauelewa.ninachoshangazwa watz hatupendi mtu kufanikiwa.kinachoendelea hapo bongo ni chuki za fulani anaendelea.nina rafiki zangu wa kenya wanamuelewa sana diamond na level ya muziki wake .ally kiba yupo poa pia na salute kwake.kinachonishangaza zaidi kwa nn watu wakoleze bifu badala ya kuwafanya wasanii waungane wafanye yao ya ukweli.uwezo wa diamond ni tofauti na uwezo wa kiba.wote wazuri na muziki waoni mzuri kwa tofauti zao.wabongo tuwakubali wa kwetu tusiwadis vijana wetu.kama mademu aliowapiga diamond wasihusishwe na muziki wake