The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
May all souls find enlightenment,
Kama unaupenda uzao wako na ungependa kuwaepusha na hekaheka kamwe usimpeleke mtoto wako upolisi.
Kwa uzoefu wetu sote tunajua jinsi baadhi ya Polisi kuwa ni watu wa dhuluma, uonevu na unyama wa kutisha unaweza kusema mtu fulani mtoto wako au ndugu ni mwema kwahiyo hata akijiunga na upolisi atatenda tofauti, hakika unajidanganya.
Uovu kutoka jeshi la upolisi sio jambo la mtu binafsi ni mfumo mzima umeoza, kuanzia ndani mpaka nje na kibaya zaidi wao wanafuata amri, hawahoji na wala hawana choice ni kupokea maagizo na kuyatekeleza hata kama dhairi ni uonevu na unyama wa kutisha kiasi gani.
Na kuhakikisha polisi wanakua watiifu kufanya unyama na wasihoji ndio maana wanachaguliwa wengi waliofeli, unadhani ni kwanini?
Licha ya kutumiwa kwa kazi chafu sana lakini hawathaminiwi, huishi kwenye vinyumba vya vya kwota vya mabati lakini wakivaa nguo zao wakapanda ndani ya defenda zao hujiona kama wao ndio wao masikini wangejua mshahara wao na haufiki hata nusu ya posho ya kikao cha watawala wanaowatumia.
Hatma ya hawa polisi siku zote hua ni majanga WENGI wanastaafu wakiwa masikini na magojwa ya stroke huwapiga sana (Kuna thread humu inazungumzia takwimu za kutisha za polisi wastaafu wanaougua stroke).
Kama unaupenda uzao wako na ungependa kuwaepusha na hekaheka kamwe usimpeleke mtoto wako upolisi.
Kwa uzoefu wetu sote tunajua jinsi baadhi ya Polisi kuwa ni watu wa dhuluma, uonevu na unyama wa kutisha unaweza kusema mtu fulani mtoto wako au ndugu ni mwema kwahiyo hata akijiunga na upolisi atatenda tofauti, hakika unajidanganya.
Uovu kutoka jeshi la upolisi sio jambo la mtu binafsi ni mfumo mzima umeoza, kuanzia ndani mpaka nje na kibaya zaidi wao wanafuata amri, hawahoji na wala hawana choice ni kupokea maagizo na kuyatekeleza hata kama dhairi ni uonevu na unyama wa kutisha kiasi gani.
Na kuhakikisha polisi wanakua watiifu kufanya unyama na wasihoji ndio maana wanachaguliwa wengi waliofeli, unadhani ni kwanini?
Licha ya kutumiwa kwa kazi chafu sana lakini hawathaminiwi, huishi kwenye vinyumba vya vya kwota vya mabati lakini wakivaa nguo zao wakapanda ndani ya defenda zao hujiona kama wao ndio wao masikini wangejua mshahara wao na haufiki hata nusu ya posho ya kikao cha watawala wanaowatumia.
Hatma ya hawa polisi siku zote hua ni majanga WENGI wanastaafu wakiwa masikini na magojwa ya stroke huwapiga sana (Kuna thread humu inazungumzia takwimu za kutisha za polisi wastaafu wanaougua stroke).