Kwa Tanzania mil 700 ni hela ndogo sana

Wakishapiga hiyo 700 unawaona beach kidimbwi wanakunywa pombe za milioni 1.8 kama maji huku wamezungukwa na wapambe madalali wa vyumba vya 50,000.

Yaani hela utakayopata ukistaafu, dalali huwa anaichezea kama mshahara tu.
 
Huyo mpuuzi mnapanga nae deal ukiwa km mnunuzi,mnaseal kila kitu kabla hujampa mpunga.
Bang mnakamata safirisha mpaka kwao alikozaliwa kabisa.
Mnamkabodhi kwa m,kiti wa kijiji awe anatia sign kila asubuhi km yupo.
Mjini kokote anapigwa blacklist asikanyage.
 
Duh

Ova
 
Hivi mpaka dalali anaweka cha juu hela zote hizo kwani Bei hazijulikani mjini?

Nyumba kwa mfano ina thamani ya million 700 ntanunuaje kwa 1.5B?

Huyo dalali kama anapata cha juu hivyo basi mnunuzi atakuwa hizo hela ama kaiba serikalini au ni boya moja alieuza madini [emoji3][emoji3]
 
Angalia dalali wa juu ilikuwa mwaka 2020.ila wa chini mi 2022 .imepita takriban miaka miwili nyumba haijapata mtu ndio maana kaamua kushusha bei.

Madalali wa siku hizi na wao wana dawa za mvuto tajir ukinichanganya kuongea nao bei lazima ununue.hii siri nimepewa na dogo ambae anawatengenezea hizi dawa za kupata wateja katika udalali wao kwa makubaliano ya asilimia kadhaaa.
 
Nyumba hiyo hiyo Kuna dalali mwingine anaiuza bil 1.2
 
Dawa gani
 
hii jengo liko karibu na IPTL napitaga hapa naliona tu kumbe liko sokon ngoja na mie niingilie dili hili
Mlaumu Baba yako. Wenzie enzi hizo wanasaka viwanja yeye anakimbizana na Malaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…