Kwa tatizo la Ngorongoro nimeichukia filamu ya Royal Tour

Kwa tatizo la Ngorongoro nimeichukia filamu ya Royal Tour

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Tatizo la Loliondo linatakiwa kazi Sana kujisafisha maana hata vyombo vya nje vimesharipoti kuhusu vurugu kwa wamasai na dunia inajua Mmsai naye ni sehemu ya adventure, yaani ukimuungalia tu utali tosha sasa unamtoaje Mmsai ni bora kumuhamisha twiga Mmsai abaki, tutegemee hapo watalii watakaokuja ni wawindaji tu.
 
Chifu Hangaya anadhani watalii huenda arusha kushangaa simba. Hujui kuwa huenda kushangaa namna binadamu na wanyama wanavyoishi pamoja. kama ni simba wako kila mahali ktk parks mbalimbali ulimwenguni wamefugwa
 
Chifu Hangaya anadhani watalii huenda arusha kushangaa simba. Hujui kuwa huenda kushangaa namna binadamu na wanyama wanavyoishi pamoja. kama ni simba wako kila mahali ktk parks mbalimbali ulimwenguni wamefugwa
Huyu mama ni kimeo.

Watanzania tumepatikana.
 
Tatizo la Loliondo linatakiwa kazi Sana kujisafisha maana hata vyombo vya nje vimesharipoti kuhusu vurugu kwa wamasai na dunia inajua Mmsai naye ni sehemu ya adventure, yaani ukimuungalia tu utali tosha sasa unamtoaje Mmsai ni bora kumuhamisha twiga Mmsai abaki, tutegemee hapo watalii watakaokuja ni wawindaji tu.
Hakika naona kabisa ile film ilikuwa na lengo la kutangaza biashara ya rasilmali zetu naona sasa wameshapata wanunuzi ndio mana ndugu zetu wamasai wanateswa...bila huruma kwa maslahi yao hawa wahuni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom