Ndio hio hio natamani kuijua , ongawa ni ngumu sana kufahamikaNazungumzia kuhusu forex trading.
Withdraw profits zako then ziache ili mtaji ukue.Kwa trader unaeanza anza kupata faida ni vizuri zaidi ku withdraw profits zako au kuziacha ili mtaji wako ukue? Nishaulini wapendwa.
Na wewe unajihusisha na hayo mamboNazungumzia forex trading
Swali fikirishi je unajilipa mshahara? Tuanzie hapoKwa trader unaeanza anza kupata faida ni vizuri zaidi ku withdraw profits zako au kuziacha ili mtaji wako ukue? Nishaulini wapendwa.
Create account mbili moja ya malengo mafupi nyingine malengo marefu ila coz ni newcomer its take time kujifunza kwanza faida zitakujaaKwa trader unaeanza anza kupata faida ni vizuri zaidi ku withdraw profits zako au kuziacha ili mtaji wako ukue? Nishaulini wapendwa.