Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Hata hujui kuwa dini haikuanzia Kwa wakatoliki sasa nikusaidiaje? Subiri ataleta ushuhuda hapa...
Wewe acha upotoshaji! Mtume Petro ndiyo kiongozi wa kwanza wa Kanisa Katoliki. Kama wachungaji wenu wanawafundisha vinginevyo mnapotoshwa
 
😅😅😅Israel kampiga nan ? Ndio mnadangaywa na tangu lini isreal ni taifa la wakristo?

Tuende kisomi maana umepumbaa sanaa ...Leta takwimu israel ni taifa la kikristo .!!
Mungu wao na wetu wakristo ni sawa ni Yahweh kama na hili hulijui pole sana

Nikusaidie katika zile nchi kumi zenye gdp kubwa hakuna hata nchi moja yenye waislamu wengi
The same kwenye UN security council hakuna hata nchi moja yenye waislamu wengi
 
Mbon israel sio taifa la wakristo ila nyie shobo kibao.

Mataifa ya ukristo Vatican ,brazil, uingereza
Shobo zipi Mungu wao na wakristo ni sawa anaitwa Yahweh biblia ya wayahudi iko sawa kwa asilimia 100 na agano la kale kwenye biblia ya wakristo

Na ukristo ulianzia israel ulaya walipekewa na kina paulo na baadae roman empire waka-adopt kama dini yao mwaka wa 380 na baadae wakaja wakaamishia vatican
hata ukatae huo ndo ukweli
 
Nyerere aliwahi kuwapiga maryfuku wotw wanaojidai vikanisa vya maombi, walikuwa wanahubiri pala mnazi mmoja zamani, wajinga ndiyo waliwao walikuwa kibao hawatoki pale.

Nyerere akwaambia wote wanaoombea watu wakafanya maombezi yao kwa wagonjwa wetu wamejaa Muhimbili na Ocean Road mpaka hakuna nafasi, hataki kuwaona mitaani wala viwanjani.

Tokea siku hiyo wakapotea mpaka alivyokuja mzee ruksa ndiyo wakaanza kurudi.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Acha ujinga hata kipindi Yesu anaponya wagonjwa waliendelea kuwepo,hata kipindi Yesu anamfufua yule mtu aliyekufa bado maiti ziliendelea kuwepo.Mungu hapangiwi utendaji kazi wake
 
Wajinga ndiyo waliwao.
Tulia usichanganyikiwe na dunia, mambo ndivyo yalivyo! Ndo maana moja anafundisha kusujudu lakini akamshangaa anayesujudu. Mwingije anahubiri habari za pepo na wakati huo huo wanganga, majini n.k ni rafiki zake.

ZINGATIA LAKO.
 

Dada unateseka na nini?
 
Mbon israel sio taifa la wakristo ila nyie shobo kibao.

Mataifa ya ukristo Vatican ,brazil, uingereza
Uingereza Ukristo unapukutika huko. Uislam unatanda.

Uingereza sio tena nchi ya Wakristo walio wengi

Tofauti na India, ambayo hutokea kuwa nchi ya kidunia, Uingereza ina dini rasmi ambayo ni Ukristo. Sasa, kulingana na takwimu za sensa za hivi karibuni zilizotolewa na Ofisi ya Takwimu za Kitaifa, Uingereza sio tena taifa la Wakristo wengi. Wito unatolewa ili kukomesha uwepo wa kanisa hilo katika bunge la nchi hiyo na taasisi za elimu.

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2021, idadi ya watu wanaojitambulisha kama Wakristo nchini Uingereza na Wales imeshuka chini ya asilimia 50 na kwa sasa iko chini ya asilimia 46.2 kutoka asilimia 59.3 mwaka 2011. Kumekuwa na kupungua kwa milioni 5.5 kutoka sensa ya mwaka 2011, ambayo inamaanisha kupungua kwa 13.1%.

Waislamu - Wengi wapya

Kwa mujibu wa sensa, kumekuwa na ongezeko la idadi ya Waislamu. Waislamu nchini Uingereza wameongezeka kutoka asilimia 4.9 hadi 6.5. Idadi hiyo imeongezeka kutoka milioni 2.7 mwaka 2011 hadi milioni 3.9 mwaka 2021.

Kabla ya kuchanganyikiwa, wacha niweke nambari wazi. Idadi ya Waislamu imeongezeka kwa asilimia 44 katika kipindi cha muongo mmoja. Wakati miji mikubwa kama Leicester, Luton na Birmingham imebadilishwa kuwa ghettos wachache. Na juu ya yote, Urdu imekuwa lugha ya sita ya kawaida inayozungumzwa nchini Uingereza. Wakati idadi ya Wahindu inakaa kwa milioni moja tu na kuna lakh Sikhs 5.34 nchini.

Soma zaidi: The coming future will witness the rise of the Islamic State of Britain
 
Tulia usichanganyikiwe na dunia, mambo ndivyo yalivyo! Ndo maana moja anafundisha kusujudu lakini akamshangaa anayesujudu. Mwingije anahubiri habari za pepo na wakati huo huo wanganga, majini n.k ni rafiki zake.

ZINGATIA LAKO.
Uongo lazima ukemewe.
 
Sio taifa la wakristo lile😅😅😅nyie ni vatican ,Roma na uingereza..

Paul anawadanganya huyo ndio mtume wa uongo anayetumia jina la kristo kwamba katumwa na yesu na Mungu ,kasome wagalatia 1:1 na wakorintho 1:1 anajitambulisha huko.
 
Waislamu yaan furaha yenu mewe wengi ili mtawale Mungu allah wenu ameshindwa wapigania mkiwa wachache anasubiria muwe wengi
 
Endelea kujifariji inarusiwa kwenye maisha
 
Yeap uislamu unasambaa kwa kasi.
 
Yeap uislamu unasambaa kwa kasi.
Waislamu yaan furaha yenu mewe wengi ili mtawale Mungu wenu allah ameshindwa wapigania mkiwa wachache anasubiria muwe wengi

Ukishaona unasubiria muwe wengi ndo mtawale basi kuna shida mahali
 
Ndio adanganye kwamba alikuwa muislamu [emoji28][emoji28][emoji28]uongo mbaya pale kwa Mwamposa wote wanasema ni waislamu.!!
Kwani kwa mwamposa wamejaa kina nani wakitafuta miujiza?? Acha kubisha tu km JUHA hata hufanyi uchunguzi we unaropokwa tu humu madai yako upate sifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…