sifuri zero na ujinga mwingi tuuuWatoto wangu bado wapo kwenye ovaries! Ila nadhani watarithi Division 4 siyo zero. Sikupata zero, nilipata 4 yangu safi. Wewe vipi umewarithisha nini 😬
Unaweza kuwaaminisha wajinga wenzio kuwa kufanikiwa kwako ni matokeo ya kupata zero. Bila hata ya utafiti, waliosoma na kufanikiwa ni wengi kuliko walio fanikiwa huku wana vyeti vya zero. Mama lishe mwenye degree moja au mbili huwezi mlinganisha na mwenye cheti cha zero. Usiwadaganye vijana.Tuliopata ziro "Wenye Masters wanatuonea wivu kitaa tuna michongo tumetoboa, wenye Masters wanachomekea tu na kuchana nywele"
Wenye Masters "Waliopata zero wanatuonea wivu kwa elimu tuliyonayo wao hawana"
Maisha hayaeleweki yanahitaji elimu au yanahitaji juhudi.
Na kupiga risasi. Hata warudishwe chuoni muda gani, kwa akili zao hawatofautishi kukamata na kuuwa.Nyie mliopata ziro ndio mnaotupiga tu mabomu tukiandamana...HONGERENI
Mkuu niunge nami huko tuile wote hiyo keki ya taifaNilipata zero, nika reseat nikapa 2, nikaenda advance, then chuo, currently nakula cake ya taifa
Mafanikio kwa tafsiri ya hapa Tz ni nini?Unaweza kuwaaminisha wajinga wenzio kuwa kufanikiwa kwako ni matokeo ya kupata zero. Bila hata ya utafiti, waliosoma na kufanikiwa ni wengi kuliko walio fanikiwa huku wana vyeti vya zero. Mama lishe mwenye degree moja au mbili huwezi mlinganisha na mwenye cheti cha zero. Usiwadaganye vijana.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Tulio wengi ndio tuko Bugeni tunawatungia Shelia!
kuna watu kibao wana masters polisi mkuu siku hizi wamekua modern sana
Zero ni zero baba haina level😂😂Tuliopata zero (0) six je? Tunanafasi au?
Uko kitengo gani Serikalini Mkuu??.Nilipata zero, nika reseat nikapa 2, nikaenda advance, then chuo, currently nakula cake ya taifa
Duh!!!, kweli wewe kilaza.Mimi nilipata zero form four baba yangu akaniambia rudia form two ila nakupeleka international school nikashindwa kukataa ila nilipata four ya mwisho kabisa inakaribia na zero!
Duh!!!,Kuna somo zuri sana hapo.Huu uzi unaletewa mzaha lakini ungekuws serious unaweza kusaidia watu.
Wengi wanapata 0 form IV au VI halafu wanachizi kabisa, wengine mpaka wanakunywa sumu. Kwa waliowahi kupata 0, share experience.
Mimi nitashare ya mwalimu wangu chuo
Alipiga 3 akiwa form 4, form Six akapiga 0. Anakwambia home kulikuwa kubaya kuliko maelezo. Bahati nzuri kuna ndugu yake alikuwa chuo, akamwambia njoo ufanye certificate ya IT. Na jamaa alikuwa interest na computers. Akatoboa vizuri certificate, akaenda Diploma akapiga vizuri. Akaanza Degree ya Computer Science, jamaa aliongoza course nzima. Chuo kikampeleka Finland kufanya masters na ajira akapata. Leo ni Networking guru, PHD, na mwalimu mzuri sana.
Kutokuwa na akili au siyo??!!!.Lkn Polisi ya sasa inahitaji sana watu bright kwasababu ya teknolojia.Hakuna POLISI kichwa, SIFA kuu ya kuingia huko SOTE tunaijua.
Ndio Mimi ni kilaza haswaa!Duh!!!, kweli wewe kilaza.
Hongera MkuuNdio Mimi ni kilaza haswaa!
Yesu ana degree ngapi?Hongera Mkuu