Kwa tuliopigwa na vitu vizito kichwani kisa mapenzi tukutane hapa

Kwa tuliopigwa na vitu vizito kichwani kisa mapenzi tukutane hapa

Lager

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
395
Reaction score
1,085
Mapenzi huzuzua akili sana haswa pale yule umpendae kwa dhati anapokwenda kinyume na makubaliano yenu ama kutenda ndivyo sivyo!, karibuni tu share mambo hayo.

Binafsi nilikua na mpenzi wangu wakike ambae tulikuwa jirani,awali alianza yeye kuniapproach nami nikazama penzini tukapeana vyakupeana muungwana nikanasa nakujikuta nikitopea kwenye penzi lake hata kuona nimepata kile kilichobora na nilikipenda haswa!.

Baada ya muda kama miezi fulani Kuna siku mazingira yalijitengeneza, Kuna jirani jamaa tu tulikuwa na ushikaji sio kivile, jamaa alinipatia simu yake nikakaa nayo muda mrefu tu bila hata kuiwasha lakini ilipofika usiku nikaamua niiwashe ili niicheki namna ilivyo nikiipenda basi napanda dau!.

Chaajabu simu yake hakuweka password!,hivyo nikapata Uhuru wa kuizungukia simu yake katika apps mbalimbali ndipo nikaongia uwanja wa sms nakukuta namba ya mpenzi wangu akichati na jamaa!.

Kufupisha ni kuwa chat zao zilionyesha wameshakulana,iliniuma sana tena sana mwili ukawa mzito ghafla hata raha nikakosa usiku huo!.
Nilichoamua sikumwambia haraka mpezi wangu ila nilikuja kumwambia siku kadhaa mbele japo alibisha ila nilimuambia yote niliyoyasoma!.

Mapenzi ni ugonjwa wa akili nduguzanguni na yanauma sana, nashukuru hivi sasa nipo sawa hii stage ukivuka salama shukuru sana.
 
Mapenzi huzuzua akili sana haswa pale yule umpendae kwa dhati anapokwenda kinyume na makubaliano yenu ama kutenda ndivyo sivyo!, karibuni tu share mambo hayo.

Binafsi nilikua na mpenzi wangu wakike ambae tulikuwa jirani,awali alianza yeye kuniapproach nami nikazama penzini tukapeana vyakupeana m
Ungefataga huu ushauri..
FB_IMG_16390589248016105.jpg
 
Pole sana mkuu hebu share nasi
Mkuu nilikuwa binti wa Arusha kwa mapenzi yake had nilitengana na mtu niliekuwa nae kwa wakati huo lakin baada ya miezi kadhaa amebadilika Sana unapiga cm Mara 9 ya kumi ndo anapokea ukiacha kumtafuta hakutafuti , tulikuwa tuna mipango mingi Sana na malengo ya kuwa mke na mume.,

Kilichosababisha nikae pembenini swala la mawasiliano Mimi ndio nalazimisha mawacliano Kati ya mim na yeye nikaacha kumtafuta huwezi amini na yeye yupo kimya wiki ya pili Sasa nimeona nipambane tu na Hali yangu mtu Kama uyu anaonesha kabsa hayupo nami npo hapa baa ya jirani napta moja Moto moja barid
 
Mkuu nilikuwa binti wa Arusha kwa mapenzi yake had nilitengana na mtu niliekuwa nae kwa wakati huo lakin baada ya miezi kadhaa amebadilika Sana unapiga cm Mara 9 ya kumi ndo anapokea ukiacha kumtafuta hakutafuti , tulikuwa tuna mipango mingi Sana na malengo ya kuwa mke na mume., Kilichosababisha nikae pembenini swala la mawasiliano Mimi ndio nalazimisha mawacliano Kati ya mim na yeye nikaacha kumtafuta huwezi amini na yeye yupo kimya wiki ya pili Sasa nimeona nipambane tu na Hali yangu mtu Kama uyu anaonesha kabsa hayupo nami npo hapa baa ya jirani napta moja Moto moja barid
Duh! Hali ya hivi inauma sana,pole sana ndugu muda utakuponya tu
 
Mkuu nilikuwa binti wa Arusha kwa mapenzi yake had nilitengana na mtu niliekuwa nae kwa wakati huo lakin baada ya miezi kadhaa amebadilika Sana unapiga cm Mara 9 ya kumi ndo anapokea ukiacha kumtafuta hakutafuti , tulikuwa tuna mipango mingi Sana na malengo ya kuwa mke na mume., Kilichosababisha nikae pembenini swala la mawasiliano Mimi ndio nalazimisha mawacliano Kati ya mim na yeye nikaacha kumtafuta huwezi amini na yeye yupo kimya wiki ya pili Sasa nimeona nipambane tu na Hali yangu mtu Kama uyu anaonesha kabsa hayupo nami npo hapa baa ya jirani napta moja Moto moja barid
Imeshanikuta hiyo. Unajikuta katika hali ambayo wewe ndo unaanzisha mawasiliano, appointments n.k
 
Mkuu nilikuwa binti wa Arusha kwa mapenzi yake had nilitengana na mtu niliekuwa nae kwa wakati huo lakin baada ya miezi kadhaa amebadilika Sana unapiga cm Mara 9 ya kumi ndo anapokea ukiacha kumtafuta hakutafuti , tulikuwa tuna mipango mingi Sana na malengo ya kuwa mke na mume., Kilichosababisha nikae pembenini swala la mawasiliano Mimi ndio nalazimisha mawacliano Kati ya mim na yeye nikaacha kumtafuta huwezi amini na yeye yupo kimya wiki ya pili Sasa nimeona nipambane tu na Hali yangu mtu Kama uyu anaonesha kabsa hayupo nami npo hapa baa ya jirani napta moja Moto moja barid
Hiyo hali ya kawaida mbona Mimi sina mawasilian yyt na huyo mtu wangu na ninasavaivu siku akinitafut fresh akikausha fresh sabb usitegemee furah au faraja kutoka kwa mpenz. Ila muda ndio muamuz wa yote kama ndoa itakuwep sawa isipokuwep sawa
 
Hiyo hali ya kawaida mbona Mimi sina mawasilian yyt na huyo mtu wangu na ninasavaivu siku akinitafut fresh akikausha fresh sabb usitegemee furah au faraja kutoka kwa mpenz. Ila muda ndio muamuz wa yote kama ndoa itakuwep sawa isipokuwep sawa
Nilimuacha mtu ambae nna malengo kwa ajil yke nmempambania Sana lakin mwsho wa cku ndio ivo tena Kuna mda nataman nmpgie lakn najikaza maana narud nyuma naon Kam nalazimisha mapenz
 
Nilimuacha mtu ambae nna malengo kwa ajil yke nmempambania Sana lakin mwsho wa cku ndio ivo tena Kuna mda nataman nmpgie lakn najikaza maana narud nyuma naon Kam nalazimisha mapenz
Don't chase a woman, huyo keshajua unampenda ukijiendekeza atakutesa kwenye ndoa kama utaoa maana itakulazimu kumaintain status ya kumlazimisha wakati hana time na wewe, kaa kimya kisicho riziki hakiliki.
 
Mkuu nilikuwa binti wa Arusha kwa mapenzi yake had nilitengana na mtu niliekuwa nae kwa wakati huo lakin baada ya miezi kadhaa amebadilika Sana unapiga cm Mara 9 ya kumi ndo anapokea ukiacha kumtafuta hakutafuti , tulikuwa tuna mipango mingi Sana na malengo ya kuwa mke na mume.,

Kilichosababisha nikae pembenini swala la mawasiliano Mimi ndio nalazimisha mawacliano Kati ya mim na yeye nikaacha kumtafuta huwezi amini na yeye yupo kimya wiki ya pili Sasa nimeona nipambane tu na Hali yangu mtu Kama uyu anaonesha kabsa hayupo nami npo hapa baa ya jirani napta moja Moto moja barid
Hali ka hii nishapitia sana, zamani ilkua inanitesa sana ila siku hizi hata siwazagi. Mimi mwanamke akiona muda wangu, kujali kwangu ni kwa thamani kwake hata mie nta-thamini sana yake and vice-versa kujipendekeza kushapitwa na wakati.
 
Mkuu nilikuwa binti wa Arusha kwa mapenzi yake had nilitengana na mtu niliekuwa nae kwa wakati huo lakin baada ya miezi kadhaa amebadilika Sana unapiga cm Mara 9 ya kumi ndo anapokea ukiacha kumtafuta hakutafuti , tulikuwa tuna mipango mingi Sana na malengo ya kuwa mke na mume.,

Kilichosababisha nikae pembenini swala la mawasiliano Mimi ndio nalazimisha mawacliano Kati ya mim na yeye nikaacha kumtafuta huwezi amini na yeye yupo kimya wiki ya pili Sasa nimeona nipambane tu na Hali yangu mtu Kama uyu anaonesha kabsa hayupo nami npo hapa baa ya jirani napta moja Moto moja barid
hali hii nipo nayo halafu nahudumia kabisa
 
Back
Top Bottom