Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Hilo zoezi mimi nashkuru nimeliweza na sas yeye ndio analalamika tuhali hii nipo nayo halafu nahudumia kabisa
Na ndio wamefanya mapenzi yanekuwa magumu😅
Pole sana aisee. Yanauma lakini hayaui.Mapenzi huzuzua akili sana haswa pale yule umpendae kwa dhati anapokwenda kinyume na makubaliano yenu ama kutenda ndivyo sivyo!, karibuni tu share mambo hayo.
Binafsi nilikua na mpenzi wangu wakike ambae tulikuwa jirani,awali alianza yeye kuniapproach nami nikazama penzini tukapeana vyakupeana muungwana nikanasa nakujikuta nikitopea kwenye penzi lake hata kuona nimepata kile kilichobora na nilikipenda haswa!.
Baada ya muda kama miezi fulani Kuna siku mazingira yalijitengeneza, Kuna jirani jamaa tu tulikuwa na ushikaji sio kivile, jamaa alinipatia simu yake nikakaa nayo muda mrefu tu bila hata kuiwasha lakini ilipofika usiku nikaamua niiwashe ili niicheki namna ilivyo nikiipenda basi napanda dau!.
Chaajabu simu yake hakuweka password!,hivyo nikapata Uhuru wa kuizungukia simu yake katika apps mbalimbali ndipo nikaongia uwanja wa sms nakukuta namba ya mpenzi wangu akichati na jamaa!.
Kufupisha ni kuwa chat zao zilionyesha wameshakulana,iliniuma sana tena sana mwili ukawa mzito ghafla hata raha nikakosa usiku huo!.
Nilichoamua sikumwambia haraka mpezi wangu ila nilikuja kumwambia siku kadhaa mbele japo alibisha ila nilimuambia yote niliyoyasoma!.
Mapenzi ni ugonjwa wa akili nduguzanguni na yanauma sana, nashukuru hivi sasa nipo sawa hii stage ukivuka salama shukuru sana.
😅😅😅😅😅😅😅Daah.Mimi kuna kademu tangu kapate ajira hakajawai tena kujibu text zangu tangu mwezi w nne mbaya zaidi simu nilimnunulia mwenyewe.Nimeamua kuachana nae kabisa najua alikuwa anitaki bali tu shida tu zilimfanya awe na mimi.
eeeh Mkuu dunia sio yetu tuishi tu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Pole sana chief simu ndio imeenda ila kausha!
Mkuu mbna hi imemiuma simu ya bei gani ulimnunulia huyu kabintiDaah.Mimi kuna kademu tangu kapate ajira hakajawai tena kujibu text zangu tangu mwezi w nne mbaya zaidi simu nilimnunulia mwenyewe.Nimeamua kuachana nae kabisa najua alikuwa anitaki bali tu shida tu zilimfanya awe na mimi.
Nikionaga haya ndio huruma na Hawa viumbe hunitoka kabisaDaah.Mimi kuna kademu tangu kapate ajira hakajawai tena kujibu text zangu tangu mwezi w nne mbaya zaidi simu nilimnunulia mwenyewe.Nimeamua kuachana nae kabisa najua alikuwa anitaki bali tu shida tu zilimfanya awe na mimi.
Bei ndogo tu infinix HOT 9 280,000/= uku kwetu. mshahara wangu wote wa mwezi wa 3 nilnunua iyo simu .Mkuu mbna hi imemiuma simu ya bei gani ulimnunulia huyu kabinti
Nilimuacha mtu ambae nna malengo kwa ajil yke nmempambania Sana lakin mwsho wa cku ndio ivo tena Kuna mda nataman nmpgie lakn najikaza maana narud nyuma naon Kam nalazimisha mapenz
Mkuu nilikuwa binti wa Arusha kwa mapenzi yake had nilitengana na mtu niliekuwa nae kwa wakati huo lakin baada ya miezi kadhaa amebadilika Sana unapiga cm Mara 9 ya kumi ndo anapokea ukiacha kumtafuta hakutafuti , tulikuwa tuna mipango mingi Sana na malengo ya kuwa mke na mume.,
Kilichosababisha nikae pembenini swala la mawasiliano Mimi ndio nalazimisha mawacliano Kati ya mim na yeye nikaacha kumtafuta huwezi amini na yeye yupo kimya wiki ya pili Sasa nimeona nipambane tu na Hali yangu mtu Kama uyu anaonesha kabsa hayupo nami npo hapa baa ya jirani napta moja Moto moja barid
Rudi mkuuMm yangu kali kuliko yako Ndg mtoa mada. Ngoja kwanza SIMBA amvurumishie Moto Yanga afu naileta humu... jiandaeni kufuta Machozi.... ilibaki kidogo tu humu mletewe TQNZIAView attachment 2040593