Nilikuwa jirani yenu kizwite 2003, kuna kiboko yenu Mwl njaga mnamkumbuka??
Kizwite nakukumbuka jamaa mmoja aliyekuwa mwenyekiti wa Ukwata miaka ya 1998 mpaka 1999 anaitwa Lwitiko mzee wa kuvaa mlegezo yaani ni kiongozi wa dini ila mvaa mlegezo mbaya