Nilikuwa jirani yenu kizwite 2003, kuna kiboko yenu Mwl njaga mnamkumbuka??
Sema ukweli wako Mr. Rocky.
Watu tumetoka A level ya Kanta miaka hiyo ya 1999. Tumepigana na Mazwi kule Uwanjani mpaka mwenzetu mmoja akavunjwa taya na kusababishiwa mwanya wa kudumu. Majuto Salehe Njanga alikuwa teacher wetu wa Geo. Millinga akiwa HM. Oooooh Jamani! ziko wapi siku zile? Wapi Nzaramte, wapi Portugo?
HEY pipooooooooooooooooo
hope mpo poa sana!!!!!! hii ni kukumbushana maisha tuliyoyapitia tulipokuwa Kanta!!! unakumbuka nini!!!mambo ya chanjii, O.G, Kidedi, mandevuniiiii , Mwal Chijua etc to mention bt few!!!
ohhhhhhhhhhh big up sana Baba V hilo jina(O.G) halitakufaaa!!!!1
Aliyevunjwa taya alikuwa Makamu mwenyekiti wangu wa Ukwata Kantalamba mkuu
Ndo maana yake nimemaliza pale mwaka huo wa 1999 Alevel mkuna Milinga akiwa HM.
Huwezi amini tulikuwa pamoja na jamaa aliyevunjwa taya ila nilivyookoka na kukimbia Mungu anajua nilifanyaje na mpaka tunampeleka hospital ananiuliza hilo swali wewe uliokokaje kwenye ugomvi ule hukuumia
Dah mkuu Penguine tufahamiane bana
ohhhhhhhhhhh big up sana Baba V hilo jina(O.G) halitakufaaa!!!!1