Kwa tuliosoma Kantalamba secondary school

Status
Not open for further replies.
Nilipita pale 1993-1996 du vr great! I miss my school alot! Taitukalesa!
 
Wakuu naomba msaada nna mdogo angu amechaguliwa kwenda f5 Kantalamba, hatujapata joining instruction kama kuna yeyote mwenye contact za shule naomba mnipatie
 
Wakuu naomba msaada nna mdogo angu amechaguliwa kwenda f5 Kantalamba, hatujapata joining instruction kama kuna yeyote mwenye contact za shule naomba mnipatie
Mkuu nipo swanga nipm nawezakukusaidia
 
Wakuu Mimi Nimechaguliwa Kantalamba Nipen Info Zake Pia Sijajua Nafika Vp Maana Nipo MTWARA Pia Joining Instructions Nahitaji Msaada Saaana
Nicheki:0689094745
0672977739
 
Wakuu Mimi Nimechaguliwa Kantalamba Nipen Info Zake Pia Sijajua Nafika Vp Maana Nipo MTWARA Pia Joining Instructions Nahitaji Msaada Saaana
Nicheki:0689094745
0672977739
Nipm nipo swax nikusaidie ukifika ubungo bus terminal panda gari za ndenjela unalala mbeya then kesho yake unapanda gari liitwalo networking frm mbeya to swanga.karibu sana swanga
 
Nipm nipo swax nikusaidie ukifika ubungo bus terminal panda gari za ndenjela unalala mbeya then kesho yake unapanda gari liitwalo networking frm mbeya to swanga.karibu sana swanga

mkuu ungempa option za mabasi mbalimbali,maana kusema tu apande ndenjela,ikitokea amekosa tiketi anaweza asisafiri kumbe mabasi ni mengi tu.
 
mkuu ungempa option za mabasi mbalimbali,maana kusema tu apande ndenjela,ikitokea amekosa tiketi anaweza asisafiri kumbe mabasi ni mengi tu.

Ndenjela ni basi lenye mwendo mzuri ila akikosa hilo kuna lingine linaitwa JM nalo linamwendo mzuri au newforceyoutong
 
Ndenjela ni basi lenye mwendo mzuri ila akikosa hilo kuna lingine linaitwa JM nalo linamwendo mzuri au newforceyoutong

sawa mkuu... nami mwaka huu mwishoni nadhani nitakuwa huko, kitambo sana nimepamiss japo nasikia ile barabara ya tunduma - sumbawanga haijakamilika bado.
 
sawa mkuu... nami mwaka huu mwishoni nadhani nitakuwa huko, kitambo sana nimepamiss japo nasikia ile barabara ya tunduma - sumbawanga haijakamilika bado.

Nashukuru Saaana Ila Pia Ningependa Kufaham Kantalamba Ni Boyz Au Boyz And Girl Pamoja Na Detai Zingne Kuihusu Shule
 
Nipm nipo swax nikusaidie ukifika ubungo bus terminal panda gari za ndenjela unalala mbeya then kesho yake unapanda gari liitwalo networking frm mbeya to swanga.karibu sana swanga

Nashukuru Sana Kamanda Pia Ningependa Kufaham Kwamba Kantalamba Ni Boyz Au Boyz Na Girlz Ni High Scul Tupu Au Ina O Levo,mazngira,vifaa,walim,chakula,maji,hali Ya Hewa,na Info Zngne Kuihusu Shule Ntashukuru Sana
 
Wakuu Mimi Nimechaguliwa Kantalamba Nipen Info Zake Pia Sijajua Nafika Vp Maana Nipo MTWARA Pia Joining Instructions Nahitaji Msaada Saaana
Nicheki:0689094745
0672977739

Karibu sana sumbawanga mkuu, panda gari za dar, pale kuna gari mbili za moja kwa moja hadi Sumbawanga MAJINJAH NA SAI BABA nauli efu 55,000 Ila unafika sumbawanga usiku kuanzia saa 5 hadi 6 Ukifika Sumbawanga sehemu ya karibu na shule ni Chanji japo unaweza kushukia stand kuu moja kwa moja ila huwa kuna usumbufu kidogo wa wapiga debe kwa mtu mgeni japo si sana.
 
sawa mkuu... nami mwaka huu mwishoni nadhani nitakuwa huko, kitambo sana nimepamiss japo nasikia ile barabara ya tunduma - sumbawanga haijakamilika bado.

Mkuu sa ivi ni mwendo wa rami mwanzo mwisho hadi Sumbawanga barabara imekamilika yote toka tunduma hadi Sumbawanga kwa kiwango cha rami.
 
Nashukuru Saaana Ila Pia Ningependa Kufaham Kantalamba Ni Boyz Au Boyz And Girl Pamoja Na Detai Zingne Kuihusu Shule

Shule ni Boyz ipo mjini na mazingira mazuri ya kujisomea japo kwa siku izi walimu wa government schools hawana moral ya kazi so njoo na vitabu vyako vya kutosha na ujitume na masomo
 
Hivi kasansa bado yupo kantalamba alikua academic wetu iyunga huyu
 
sawa mkuu... nami mwaka huu mwishoni nadhani nitakuwa huko, kitambo sana nimepamiss japo nasikia ile barabara ya tunduma - sumbawanga haijakamilika bado.
Kwa sasa kamanda ni full rami from tunduma to swanga ni almost 6to 7hrs from mby to swanga,uje na blanketi pamoja na masweta mazito ni full baridi
 
Shule ni Boyz ipo mjini na mazingira mazuri ya kujisomea japo kwa siku izi walimu wa government schools hawana moral ya kazi so njoo na vitabu vyako vya kutosha na ujitume na masomo
swanga ni sehemu yenye baridi hivyo uje na blanketi na masweta si jacket
 
Shule ni Boyz ipo mjini na mazingira mazuri ya kujisomea japo kwa siku izi walimu wa government schools hawana moral ya kazi so njoo na vitabu vyako vya kutosha na ujitume na masomo
Kama hutojali tuma your full names nikakuchukulie admission then utume na your email ili nikutumie
 
sawa mkuu... nami mwaka huu mwishoni nadhani nitakuwa huko, kitambo sana nimepamiss japo nasikia ile barabara ya tunduma - sumbawanga haijakamilika bado.

Imekamilika mkuu
 
Ndenjela ni basi lenye mwendo mzuri ila akikosa hilo kuna lingine linaitwa JM nalo linamwendo mzuri au newforceyoutong

Wasaidie mkuu. Napakumbuka sana swanga miaka hyo nasoma pale Maurus, ilikuwa poa sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…