enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 341
Mi nakumbuka shuleni kwetu kubeba jembe, kotama, mbolea, maua, chupa, mayai, mifagio, fito, mifutio, maji ilikuwa kawaida.
Kupewa adhabu za kung'oa visiki ilikuwa kawaida au kushinda umeshika maskio au kupigwa konzi au kufinywa darasa zima. Adhabu kama kulima ilikuwa kawaida.
Kitu kingine, mwalimu kumchukua mwanafunzi akalime shamba lake au kumtafutia kuni au kudeki ilikuwa kawaida.
Mliosoma English medium haya mambo hamuwezi kuyajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupewa adhabu za kung'oa visiki ilikuwa kawaida au kushinda umeshika maskio au kupigwa konzi au kufinywa darasa zima. Adhabu kama kulima ilikuwa kawaida.
Kitu kingine, mwalimu kumchukua mwanafunzi akalime shamba lake au kumtafutia kuni au kudeki ilikuwa kawaida.
Mliosoma English medium haya mambo hamuwezi kuyajua.
Sent using Jamii Forums mobile app