Kwa tuliosoma kayumba: Leo tukumbushane vitu tulivyokuwa tunatumwa na walimu wetu enzi tukiwa shule za msingi

Kwa tuliosoma kayumba: Leo tukumbushane vitu tulivyokuwa tunatumwa na walimu wetu enzi tukiwa shule za msingi

Nimesoma kayumba ya wilayani, haikuwa mjini sana ila sio kijijini kabisa. Fagio za chelewa, majembe, nguzo za kujengea jengea sehemu za nyasi, maua, maji na kuni.

Wasichana ilikua kawaida kuagizwa wakachote maji kupeleka kwa walimu. By the way dingi alikua ticha so nimekula sNa mseleleko wa kudoji kazi sometimes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ticha mmoja mmaza (Mwl Nyota) alikua kauzu sana.

Sasa bwana kuna siku alituagiza, nyumbani kwake. Katupatia kimeseji (kikaratasi) tukampe mtoto wake wa kike yupo home.

Kufika tunakuta jirani yake kuna msiba. Yaani wao wanakaa kota za iyo shule (ni shule ipo chini ya masista so dayosisi waliwapa nyumba hao watumishi). Alitupa iko kimeseji kumbe amesema mtoto wake atupatie wali kwenye hotpot tumpepekee kazini. Dah yeye msibani huwezi amini hakwenda week nzima wakati ni nyumba ya pili.

Kuna siku mwalimu mwingine alikua bonge sana alituagiza nyumbani kwake. Kuna vitu tukavichukue somewhere hafu tupeleke kwake. Sasa kuna kitu pia alitaka atuagize turudi nacho ila akasahau so ikabidi aje mwenyewe. Sisi tulipotoka iyo sehemu tukaenda kwake. Hakuna mtu. Haoo tukaingia bafuni, la nje, tulikuta ameanika bonge la chupi. Wale jamaa zangu wawili wakavaa wakaingia wote kwenye chupi moja. Kumbe yule ticha ndio kafika anasikia vicheko bafuni. Anaingia anakuta watu wapo ndani ya chupi. Aisee zile fimbo zilipigwa sijawahi ona. Tunafika shule akatukabidhi kwa mwalimu wa nidhamu tukala fimbo ila sababu haitajwi. Ni fimbo tu.
Kweli mad max hongeren kwa sherehe ya viboko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu pengine natoa Daftari kwenye rambo langu hafu natia mbole.. Daftari naweka nyuma ya mgongo ndani ya shati..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]m nilikua nikifka shule naomba kupunguziwa na walioleta mbolea nyingi au unamwambia mtu akuletee mbolea unamnunulia icecream mapumzko
 
Mafagio,kibuyu kwaajili ya kuchotea maji au Galoni,kuni za kupikia uji,matete,mbolea,ukoka,kikombe enzi hizo unakifunga kwenye mkanda wa kabtula ,mfuko wa madaftali,jembe

Vyote unabena kwa pamoja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]m nilikua nikifka shule naomba kupunguziwa na walioleta mbolea nyingi au unamwambia mtu akuletee mbolea unamnunulia icecream mapumzko
Ulikua na hela eeh. Ilikua unamuomba mtu mavi moja ya ng'ombe 😂😂😂 hafu unaenda kwa mwingine unamuomba lingine moja..ukiwa nayo ma4 basi unajua umeepuka kichapo
.
 
Kuna ticha mmoja mmaza (Mwl Nyota) alikua kauzu sana.

Sasa bwana kuna siku alituagiza, nyumbani kwake. Katupatia kimeseji (kikaratasi) tukampe mtoto wake wa kike yupo home.

Kufika tunakuta jirani yake kuna msiba. Yaani wao wanakaa kota za iyo shule (ni shule ipo chini ya masista so dayosisi waliwapa nyumba hao watumishi). Alitupa iko kimeseji kumbe amesema mtoto wake atupatie wali kwenye hotpot tumpepekee kazini. Dah yeye msibani huwezi amini hakwenda week nzima wakati ni nyumba ya pili.

Kuna siku mwalimu mwingine alikua bonge sana alituagiza nyumbani kwake. Kuna vitu tukavichukue somewhere hafu tupeleke kwake. Sasa kuna kitu pia alitaka atuagize turudi nacho ila akasahau so ikabidi aje mwenyewe. Sisi tulipotoka iyo sehemu tukaenda kwake. Hakuna mtu. Haoo tukaingia bafuni, la nje, tulikuta ameanika bonge la chupi. Wale jamaa zangu wawili wakavaa wakaingia wote kwenye chupi moja. Kumbe yule ticha ndio kafika anasikia vicheko bafuni. Anaingia anakuta watu wapo ndani ya chupi. Aisee zile fimbo zilipigwa sijawahi ona. Tunafika shule akatukabidhi kwa mwalimu wa nidhamu tukala fimbo ila sababu haitajwi. Ni fimbo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiachana na Kuwai namba saa moja kamili kuna kuagizwa fito na kuni tano tano nilipo fika darasa la 5 nikawa kiranja basi apo nikawa nimeponyeka na ivyo vikombe..[emoji4]
 
Kuna ticha mmoja mmaza (Mwl Nyota) alikua kauzu sana.

Sasa bwana kuna siku alituagiza, nyumbani kwake. Katupatia kimeseji (kikaratasi) tukampe mtoto wake wa kike yupo home.

Kufika tunakuta jirani yake kuna msiba. Yaani wao wanakaa kota za iyo shule (ni shule ipo chini ya masista so dayosisi waliwapa nyumba hao watumishi). Alitupa iko kimeseji kumbe amesema mtoto wake atupatie wali kwenye hotpot tumpepekee kazini. Dah yeye msibani huwezi amini hakwenda week nzima wakati ni nyumba ya pili.

Kuna siku mwalimu mwingine alikua bonge sana alituagiza nyumbani kwake. Kuna vitu tukavichukue somewhere hafu tupeleke kwake. Sasa kuna kitu pia alitaka atuagize turudi nacho ila akasahau so ikabidi aje mwenyewe. Sisi tulipotoka iyo sehemu tukaenda kwake. Hakuna mtu. Haoo tukaingia bafuni, la nje, tulikuta ameanika bonge la chupi. Wale jamaa zangu wawili wakavaa wakaingia wote kwenye chupi moja. Kumbe yule ticha ndio kafika anasikia vicheko bafuni. Anaingia anakuta watu wapo ndani ya chupi. Aisee zile fimbo zilipigwa sijawahi ona. Tunafika shule akatukabidhi kwa mwalimu wa nidhamu tukala fimbo ila sababu haitajwi. Ni fimbo tu.
Mkuu, kwa mifano hiyo ndio inatuonyesha wazi kqamba walimu wana hali ngumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutafuta futio la ubao lazima upite madarasa zaidi ya matatu
kulikua na wale waalim wakaksi ukiingia darasani ukakuta ana kipindi lazima ukipige swali ukichemka iyo aibu yake dah..
 
Back
Top Bottom