Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Kwa wale wote tuliotahiliwa(kuingia jando) bila ganzi tukutane hapa .
Vipi maumivu yake wakuu? Je wewe uliambiwa nini siku ile waliyokuja kukutahili kama kukutoa hofu au kukudanganya usiogope.
Binafsi nilidanganywa kununuliwa viatu si unajua enzi hizo viatu vilikuwa adimu sana wamiliki wake ilikuwa watoto wa walimu au wafanyakazi tu wa serikari.
Basi siku hiyo nilikuwa zangu nacheza Mara pap nikaitwa nyumbani nilijua tu naitiwa kupiga msosi kumbe naenda kutailiwa.
Asee maumivu niliyoyapata wakati natailiwa si mchezo nilibanwa kila kona ili nisikurupuke nashukuru nilifanyiwa fresh na sasa mi kidume kitaani.
Vipi upande wenu wakuu.
Vipi maumivu yake wakuu? Je wewe uliambiwa nini siku ile waliyokuja kukutahili kama kukutoa hofu au kukudanganya usiogope.
Binafsi nilidanganywa kununuliwa viatu si unajua enzi hizo viatu vilikuwa adimu sana wamiliki wake ilikuwa watoto wa walimu au wafanyakazi tu wa serikari.
Basi siku hiyo nilikuwa zangu nacheza Mara pap nikaitwa nyumbani nilijua tu naitiwa kupiga msosi kumbe naenda kutailiwa.
Asee maumivu niliyoyapata wakati natailiwa si mchezo nilibanwa kila kona ili nisikurupuke nashukuru nilifanyiwa fresh na sasa mi kidume kitaani.
Vipi upande wenu wakuu.