adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
Waungwana hii kitu isikie tu kwingine
usiombe yakukute!
mara ya kwanza kutaitiwa na vibaka ilikuwa 2010.
nimetika klabu bwaxx bwaxx!
nikajikaza mdomdo kuelekea homu nikazime huko!
navuka reli kumbe kuna jamaa wamelala pale na hivi vimbaumbau sikujua nikajua reli kidogo niwakanyage!
mara mmoja akaniita oyoo kamanda una fegi hapo??!!nikasimama tu nashangaashangaa!
mara paap mmoja akanirukia mgongoni tukaenda wote chini mwingine akaja akanikanyaga miguu!
mwingine akaja na kisu nikawaambia chukueni msiniumize.
yule jamaa wa kisu akashika mfuko wa akauchana na kisu yaani akaondoka na mfuko wa suruali na vitu vyote humo!yaani walikata kama wanachinja vile!
hao wakasepa na chenji chenji na simu mbili!
Sitasahau na hiyo nimepanda boda usiku kutokea klabu kufika njiani jamaa wa bodaboda akaruka akaniacha na pikipiki nikapiga nayo mzinga wa atari!
kumbe dili bana ila nainuka nashangaa jamaa wanakuja wakijifanya wanataka kutoa msaada kumbe ndo vibaka asee walinikwarua kila kitu!
ila nashkuru kwa hayo matukio yote sijawah tobolewa jicho!
Kwa waliwahi kukutana na hizi kasheshe tupashane!
usiombe yakukute!
mara ya kwanza kutaitiwa na vibaka ilikuwa 2010.
nimetika klabu bwaxx bwaxx!
nikajikaza mdomdo kuelekea homu nikazime huko!
navuka reli kumbe kuna jamaa wamelala pale na hivi vimbaumbau sikujua nikajua reli kidogo niwakanyage!
mara mmoja akaniita oyoo kamanda una fegi hapo??!!nikasimama tu nashangaashangaa!
mara paap mmoja akanirukia mgongoni tukaenda wote chini mwingine akaja akanikanyaga miguu!
mwingine akaja na kisu nikawaambia chukueni msiniumize.
yule jamaa wa kisu akashika mfuko wa akauchana na kisu yaani akaondoka na mfuko wa suruali na vitu vyote humo!yaani walikata kama wanachinja vile!
hao wakasepa na chenji chenji na simu mbili!
Sitasahau na hiyo nimepanda boda usiku kutokea klabu kufika njiani jamaa wa bodaboda akaruka akaniacha na pikipiki nikapiga nayo mzinga wa atari!
kumbe dili bana ila nainuka nashangaa jamaa wanakuja wakijifanya wanataka kutoa msaada kumbe ndo vibaka asee walinikwarua kila kitu!
ila nashkuru kwa hayo matukio yote sijawah tobolewa jicho!
Kwa waliwahi kukutana na hizi kasheshe tupashane!