KWA TULIOWAHI KUTAITIWA NA VIBAKA NA MAJAMBAZI TUKUTANE HAPA.

KWA TULIOWAHI KUTAITIWA NA VIBAKA NA MAJAMBAZI TUKUTANE HAPA.

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,638
Waungwana hii kitu isikie tu kwingine
usiombe yakukute!
mara ya kwanza kutaitiwa na vibaka ilikuwa 2010.
nimetika klabu bwaxx bwaxx!
nikajikaza mdomdo kuelekea homu nikazime huko!
navuka reli kumbe kuna jamaa wamelala pale na hivi vimbaumbau sikujua nikajua reli kidogo niwakanyage!
mara mmoja akaniita oyoo kamanda una fegi hapo??!!nikasimama tu nashangaashangaa!
mara paap mmoja akanirukia mgongoni tukaenda wote chini mwingine akaja akanikanyaga miguu!
mwingine akaja na kisu nikawaambia chukueni msiniumize.
yule jamaa wa kisu akashika mfuko wa akauchana na kisu yaani akaondoka na mfuko wa suruali na vitu vyote humo!yaani walikata kama wanachinja vile!
hao wakasepa na chenji chenji na simu mbili!
Sitasahau na hiyo nimepanda boda usiku kutokea klabu kufika njiani jamaa wa bodaboda akaruka akaniacha na pikipiki nikapiga nayo mzinga wa atari!
kumbe dili bana ila nainuka nashangaa jamaa wanakuja wakijifanya wanataka kutoa msaada kumbe ndo vibaka asee walinikwarua kila kitu!
ila nashkuru kwa hayo matukio yote sijawah tobolewa jicho!

Kwa waliwahi kukutana na hizi kasheshe tupashane!
 
Waliwahi kunifanyia "ambush" walikuwa kama sita hivi sasa kwa kuwa sikuwa nimejianda na sikujua hili wala lile walifanikisha azma yao!
But nilitafakari sana lile tukio hivyo nikaamua kutafuta mbinu ya kupambana nao wakati mwingine, hivyo nilipata mbinu ya kupambana nao kulingana na mazingira tofauti tofauti, aina ya vibaka, idadi ya vibaka na aina ya silaha wanazotumia!
Siku wakaingia katika mtego, kwa kweli nadhani huko waliko kama wanakumbuka hilo tukio nahisi watakuwa wanadhani walipambana na jini!
 
Thanxx
ila waliniadhiri sana hadi nikaacha kulewa karibu nusu mwaka.
ila waliona wakinisach wanachelewa wakaamua kukata mifuko yote ya surwali.nafika hom nimeishika jinsi isidondoke
Hahahaaa wakaona kurahisha kazi bora wachane! Bora ungeacha moja kwa moja tu kunywa pombe[emoji1]
 
Kuepuka kukabwa usiku kuwa Mkabaji kwa kuwa wakabaji hawakabani!
 
Tuko watatu tuna kross bich to bich ilikua sikukuu flani hivi. Tumetembea kandokando ya bahari toka chadibwa tunaelekea hunters. Katikati wakaibuka vibaka na mavisu mkononi "oyaa tusalimianeni basii". Dooh nikajua on target. Kwakua mi nilishika kamera wakanianza mimi wenzangu wakafungukaa. Dooh nikawa sina jinsi mepigwa sana mabapa ya panga wakanipukutisha kila kitu. Nilikua mgumu kutoa waleti, nikaonja panga la mgongo, nikajua no jock wakanipulula asee. Walivomaliza wakawaunganishia na wenzangu. Asee siwezi sahau siku hiyo. Nilitembea kwa mguu mpaka kivukoni usiku saa mbili. Damu zinanitoka nikamwomba msamaria buku akanipa nikapata nauli nafika home nawakuta washkaji wanapanga jinsi ya kwenda kunitafuta. Walijua nishauwawa tayari
 
Tuko watatu tuna kross bich to bich ilikua sikukuu flani hivi. Tumetembea kandokando ya bahari toka chadibwa tunaelekea hunters. Katikati wakaibuka vibaka na mavisu mkononi "oyaa tusalimianeni basii". Dooh nikajua on target. Kwakua mi nilishika kamera wakanianza mimi wenzangu wakafungukaa. Dooh nikawa sina jinsi mepigwa sana mabapa ya panga wakanipukutisha kila kitu. Nilikua mgumu kutoa waleti, nikaonja panga la mgongo, nikajua no jock wakanipulula asee. Walivomaliza wakawaunganishia na wenzangu. Asee siwezi sahau siku hiyo. Nilitembea kwa mguu mpaka kivukoni usiku saa mbili. Damu zinanitoka nikamwomba msamaria buku akanipa nikapata nauli nafika home nawakuta washkaji wanapanga jinsi ya kwenda kunitafuta. Walijua nishauwawa tayari
Nimecheka sana kwamba umekuta wana wanapanga jinsi ya kukutafuta[emoji1][emoji1]
 
Waliwahi kunifanyia "ambush" walikuwa kama sita hivi sasa kwa kuwa sikuwa nimejianda na sikujua hili wala lile walifanikisha azma yao!
But nilitafakari sana lile tukio hivyo nikaamua kutafuta mbinu ya kupambana nao wakati mwingine, hivyo nilipata mbinu ya kupambana nao kulingana na mazingira tofauti tofauti, aina ya vibaka, idadi ya vibaka na aina ya silaha wanazotumia!
Siku wakaingia katika mtego, kwa kweli nadhani huko waliko kama wanakumbuka hilo tukio nahisi watakuwa wanadhani walipambana na jini!
Hawa jamaa nao kila cku wanabadili mbinu!km hiyo ya pikipiki ilikuwa mpya kwangu
 
Waliwahi kunifanyia "ambush" walikuwa kama sita hivi sasa kwa kuwa sikuwa nimejianda na sikujua hili wala lile walifanikisha azma yao!
But nilitafakari sana lile tukio hivyo nikaamua kutafuta mbinu ya kupambana nao wakati mwingine, hivyo nilipata mbinu ya kupambana nao kulingana na mazingira tofauti tofauti, aina ya vibaka, idadi ya vibaka na aina ya silaha wanazotumia!
Siku wakaingia katika mtego, kwa kweli nadhani huko waliko kama wanakumbuka hilo tukio nahisi watakuwa wanadhani walipambana na jini!
we nae[emoji1] [emoji1] mbona kama unachimba mkwara?
 
Mwaka 2005 nakumbuka kombe la dunia lilitembelea tanzania pale diamond jubilee wakat huo nipo chuo mwaka wa kwanza nikaenda na demu wangu Irene tulipotoka pale tukaenda beach maeneo ya aga khan basi giza linaanza kuzama hivi nashtuka tumezungukwa na watu kama 8 wana mapanga wakachukua simu pochi cheni...nilichezea kichapo maana nlitaka kujifanya mm komando joni nipambane kama sio mpenzi wangu kuwaomba wanisamehe wangenitoa jicho.


Tokea mwaka huo ile beach naichukia sn
 
Haa ha ha..Vibakaa komeshaa usipende kutembea na demu wako Beach has usikuu
 
Back
Top Bottom