Et tuzo za TFF🤣🤣🤣Tulikuwa tu lazima huko uliko umechanganyikiwa baada ya ulichotaka hakikutokea badala yake unatafuta kauli za kujifarijinafikiri ulidhania hizi ni tuzo za kimichongo kama za TFF ambazo wakala wa bangala alicheza michezo unayotaja
Wamekosea mkuu wala usiteseke sana mshindi hapo ni Aziz KiKwa tunaojua mpango wa wakala Kwa Mchezaji wake halitutishtui hili....
Ndo Hajji aliwaambia hawanaga akiliOnce UTOPOLO always UTOPOLO
Mkuu ebu tuwe tu wakweli goli la acrobatic huwezi kulinganisha Na goli lingne mfano goli alilofunga Cristiano Ronaldo 2017 UEFA dhidi ya Juventus lilikuwa goli Bora la mwaka hata hili la mayele pia ningeshangaa asipewe goli Bora la mwaka hata huyo POS anadeserve mkuuPongezi kwa mshabiki wa Simba kwa kumpigia kura za kutosha kijana na akashida japo goli la Gabadhino lilikuwa ni goli zuri zaidi kwa upande wangu ila nadhani kura hazikutosha
Preserved for future use.Once UTOPOLO always UTOPOLO
Mkuu rudi ukamalizie usingizi wako ambao ulisababishwa na kukesha kwa kuishangilia tuzo ya Sakho.Kwa tunaojua mpango wa wakala Kwa Mchezaji wake halitutishtui hili...