Sidhani kama tuzo za CAF zinapigiwa kura na mashabiki.Pongezi kwa mshabiki wa Simba kwa kumpigia kura za kutosha kijana na akashida japo goli la Gabadhino lilikuwa ni goli zuri zaidi kwa upande wangu ila nadhani kura hazikutosha
Huyo ni shogaJamaa atakua na gubu sana mkewe ana kazi
goli bora asilimia 70 ni kura..30 ni panelistsSidhani kama tuzo za CAF zinapigiwa kura na mashabiki.
HahahahMchezaji wa mkopo kama chiko ushindi hawezi kufunga goal kama lile endeleeni kuchukua wazee kama kina bigirimana akipiga bicycle kick kama ile anavunjika kiuno.
Wala hatukupiga keleleView attachment 2299860
Leta tuzo yake hapa aliyokabidhiwa tuione mkuuWala hatukupiga keleleView attachment 2299860
Kuna kura zinapigwa.ata mimi niliona link nikapiga kura zakutosha.Sidhani kama tuzo za CAF zinapigiwa kura na mashabiki.
Kwanza ni mgonjwa wa Ini hawezi kufanya hivyo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchezaji wa mkopo kama chiko ushindi hawezi kufunga goal kama lile endeleeni kuchukua wazee kama kina bigirimana akipiga bicycle kick kama ile anavunjika kiuno.