Kwa tunaofuatilia mpira wa Africa ndiyo tunajua kuwa Jwaneng Galaxy ndiyo timu Bora kwenye hatua ya pili ya mashindano ya CAF

Jwaneng amelifanya kundi lisiwe na mwenyewe..
Angalia kundi la wenzetu,al ahly kashinda 3-0,belozuidad kashinda 3-0 hii inafanya kundi Lao liwe na wababe
Hakika, kaneutralize hali ya mambo kwenye kundi lao, leo hii eti Wydad ni wa mwisho.... hahahaaaa! Ila ni mwanzo.. wenyewe wataonekana vema, kadri michezo inavyozidi kuendelea.
 
Hakika,kaneutralize hali ya mambo kwenye kundi lao,leo hii eti Wydad ni wa mwisho.... hahahaaaa! ila ni mwanzo.. wenyewe wataonekana vema,kadri michezo insvyozidi kuendelea.
Tarehe 2 ni dhidi ya Simba, wakizihitaji tatu zingine za nyumbani.
 
Simba itatinga robo fainali ya Cacl, subiri utaona.
 
Dah!
 
Simba huwa wanamtindo wa kwenda kumubomoa mpinzani mmojawapo kwa kumtwaa kocha. Hiyo huyo kocha wa Galaxy ajiandae kutua msimbazi. Robertinho anaondoka baada ya mechi na Al Ahly
SAWA JUMAMOSI SIYO MBALI.
 
HAKUNA SHIDA SUBIRI JUMAMOSI UONE KITAKACHO WAKUTA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…