Mkuu mbona hutaki kufunguka utasaidiwaje au una ma depression yako huelewi hata umeandika niniNahisi anayehusika ataelewa hii
Requidated Mkuu, umekuja kukosoa tu toa unachofahamu baada ya kukiambia mkopo wako uko na status hiyo
Mimi pia nimetoka kapa kapaUsiwe na hasira. hapo juu watu karibia sita hawajaelewa. Rudi uedit uzi wako je mmeibiwaje?
Maana yake hudaiwi Tena, yaani umelipa fedha yao yote waliyokuwa wanakudai.
Kila la kheri.
Embu nitazamie hapo nadaiwa sh ngapiMaana yake hudaiwi Tena, yaani umelipa fedha yao yote waliyokuwa wanakudai.
Kila la kheri.
Deni halisi litapatikana kwa kuchukua disbursed+Total charge - Returned - RepaidEmbu nitazamie hapo nadaiwa sh ngapi
Heading na content ni kama havina uhusianoBaada ya tangazo la kuondoa retention fee na tuseme tu haya ndio matokeo ya Rais mpya halafu eti wananchi wanalalamika yule ameondoka wanateseka kumbe Kuna walioibiwa miaka na miaka.
Wajuzi wa haya mambo, unayo hiyo statement na unaendelea kukatwa Deni. Ina maana ipi.