Maana yake umemaliza deni mkuuBaada ya tangazo la kuondoa retention fee na tuseme tu haya ndio matokeo ya Rais mpya halafu eti wananchi wanalalamika yule ameondoka wanateseka kumbe Kuna walioibiwa miaka na miaka.
Wajuzi wa haya mambo, unayo hiyo statement na unaendelea kukatwa Deni. Ina maana ipi.
Hapa kuna shida, hii inamaanisha wewe umelipa 30000 tu kwenye hiyo milioni 9.7 uliyokopeshwa
Asante sana mkuuDeni halisi litapatikana kwa kuchukua disbursed+Total charge - Returned - Repaid
Afadhali wewe limebaki vile vile mimi imeongezeka laki 2.4Mi sijaelewa chochote hadi sasa kuhusu HSLB NAONA DENI NI LILE LILE HAKUNA MABADILIKO KABISA!!!
Afadhali wewe limebaki vile vile mimi imeongezeka laki 2.4
Mimi sijamalizana nao nitarudi pale nikawashe moto bado nakusanya ushahidi kuna document natakiwa kuwa nazoLakin niulze wadau kwanini Heslb hawataki kabisa kuondosha value retention fee?shida ni nin?
Nilichukua statement mwezi wa 6 mwishoni kabla ya mshahara ofisini kwao nikaihifadhi. Mshahara ulipotoka wakanikata laki 1.8Lakin niulze wadau kwanini Heslb hawataki kabisa kuondosha value retention fee?shida ni nin?
Wanamaanisha 'wamekushtukia unataka kujiua kabla hujalipa deni'
Mkuu na hiyo wanayosema returned amount wanamaanisha nini? Imerudishwa wapi?
Mimi pia sijafahamu hapaMkuu na hiyo wanayosema returned amount wanamaanisha nini? Imerudishwa wapi?
Hiyo returned ni ipi?Hapa kuna shida, hii inamaanisha wewe umelipa 30000 tu kwenye hiyo milioni 9.7 uliyokopeshwa
Baada ya tangazo la kuondoa retention fee na tuseme tu haya ndio matokeo ya Rais mpya halafu eti wananchi wanalalamika yule ameondoka wanateseka kumbe Kuna walioibiwa miaka na miaka.
Wajuzi wa haya mambo, unayo hiyo statement na unaendelea kukatwa Deni. Ina maana ipi.
"It seemed"? WTF is that? British understatement?Baada ya tangazo la kuondoa retention fee na tuseme tu haya ndio matokeo ya Rais mpya halafu eti wananchi wanalalamika yule ameondoka wanateseka kumbe Kuna walioibiwa miaka na miaka.
Wajuzi wa haya mambo, unayo hiyo statement na unaendelea kukatwa Deni. Ina maana ipi.
Mkuu naelea kama nahodha chomboni kila siku nipo hapa wala sijaibuka.Kiranga umeibukia wapi Mkuu