Uchaguzi 2020 Kwa ubabaishaji huu wa CHADEMA hawapaswi kupewa madaraka

Uchaguzi 2020 Kwa ubabaishaji huu wa CHADEMA hawapaswi kupewa madaraka

Umetumia nguvu nyingi kuandika kupinga chama ambacho ruzuku yake haifiki Hata Milion 300 kwa mwezi, vs chama ambacho kina serikali

Maneno yote hayo unaongelea chama ambacho kwa miaka 5 kipo gizani, kimya kabisa vs chama ambacho kwa miaka 5 kinaongea tu sera zake

Mpaka hapo means ccm mna hofu kubwa sana na chama ambacho mbele za watu mnakiita dhaifu
Tunawaeleza wa TZ wajua,Hofu hatuna na nyie coz hamna lolote zaidi ya kubwatuka majukwaani bila kutoa sera za kuwasaidia watanzania
 
Wanapokea Ruzuku,

Wanachangisha wabunge kila mwezi,

Wanachangisha wananchi kwenye mikutano yao,

Wanaomba fedha toka kwa mabeberu.

Lakini bado hawana hata makao makuu yao.

Ofisi za Kanda zipo hoi.

Chadema kuna mashine ya kutafuna fedha,

Pale kuna ubadhirifu mkubwa sana ndio maana uongozi wa juu ni watu wale wale kwa muda mrefu ili kuficha madudu yao, mtu nje ya mtandao wao hawezi kuwa sehemu ya uongozi.

Chama kimejaa ufisadi.

Ruzuku hata Milion Mia Tatu haifiki je ungejua Ruzuku ya ccm si ungezimia?

Hata ccm wanachangisha wabunge wao I think ww ni mgeni kwenye mambo ya siasa
 
Ruzuku hata Milion Mia Tatu haifiki je ungejua Ruzuku ya ccm si ungezimia?

Hata ccm wanachangisha wabunge wao I think ww ni mgeni kwenye mambo ya siasa
Sasa kama pesa ndogo mnaipiga mkipewa nchi si mtauza hadi Majani na miti nyie
 
Tunawaeleza wa TZ wajua,Hofu hatuna na nyie coz hamna lolote zaidi ya kubwatuka majukwaani bila kutoa sera za kuwasaidia watanzania

Then kaeni kimya nyie si mna madaraja na ndege? Then Relax basi shida na Presha ya nn

Unawaeleza wakati wanaona mambo yote mliofanya
 
Ruzuku hata Milion Mia Tatu haifiki je ungejua Ruzuku ya ccm si ungezimia?

Hata ccm wanachangisha wabunge wao I think ww ni mgeni kwenye mambo ya siasa
Hiyo milioni miatatu kwani kidogo??
 
Sasa kama pesa ndogo mnaipiga mkipewa nchi si mtauza hadi Majani na miti nyie

Hata nyie twiga mliuza so no wonder
Pia Milion Mia Tatu kwa taasisi unaona ni pesa?
 
Hiyo milioni miatatu kwani kidogo??

Unaweza kununua magari, kujenga, kuimarisha chama, kulipa mishahara na mafuta, kulipa pango za office mikoani kwa Milion Mia Tatu kwa mwez?

Kwanza una miaka mingap? Nisije kuwa nabishana na under 18 tangu umezaliwa hata Milion 100 ujawahi kuwa nayo
 
Unaweza kununua magari, kujenga, kuimarisha chama, kulipa mishahara na mafuta, kulipa pango za office mikoani kwa Milion Mia Tatu kwa mwez?

Kwanza una miaka mingap? Nisije kuwa nabishana na under 18 tangu umezaliwa hata Milion 100 ujawahi kuwa nayo
Ndio unaweza fanya yote hayo.
 
Naomba kujua umri wako, naweza kuwa nabishana na under 18 ambae ujawahi hata kushika Milion 50 yako mwenyewe
Mara milioni 100 mara 50 hueleweki mkuu,
Jikite kwenye mada inayohusiana na ubadhirifu wa fedha hapo Chadema.

Tuambie ni kwanini nafasi ya juu kabisa ya Chama ni sumu kwa mtu mwingine yeyote kuichukua,

Mbowe anaficha nini??
 
Kataa ccm
Kataa uhuni wa ccm
Kataa uonevu wa ccm
Kataa unyanyasaji wa ccm
Kataa ubinafsi wa ccm
Kataa ufisadi wa ccm
Kataa utapeli wa ccm
Kataa ukabila wa ccm
Kataa mizaha ya ccm
Ikatae ccm kwa nguvu , akili na uwezo wako wote


Mpe kura mgombea yeyote wa CHADEMA kwenye eneo la kupigia kura.
 
Ccm mmewaambukiza yanga(samahani kwa washabiki wa yanga huu ndo ukweli) mambo ya propaganda za kijinga.....

Yani hamuwezi kupambana na hoja za chadema(upinzani) hadi mtie uongo ndivyo ilivyo kwa yanga ya sasa(ili jilinganishe na simba inatia fitna na maneno ya uongo tu)

Niwaambie tu nyie ccm... kwa nyakati hizi watu wengi wameanza kupata mwanga kiakili... unaweza kumpata na ujinga wenu kwa muda mchache ila akikutana na mwenye hoja... anabadili mawazo chap kwa haraka...

Jitahidini kutumia hoja zenye mashiko... uongo na uzushi unazidi kuwadidimiza na mnaonekana mamburula.... mnawaangusha watu smart walio katika chama chenu kwani nao inawabidi wawe waongo ili mambo yaende sawa.

Acheni izo mambo bhana.
 
Ccm mmewaambukiza yanga(samahani kwa washabiki wa yanga huu ndo ukweli) mambo ya propaganda za kijinga.....

Yani hamuwezi kupambana na hoja za chadema(upinzani) hadi mtie uongo ndivyo ilivyo kwa yanga ya sasa(ili jilinganishe na simba inatia fitna na maneno ya uongo tu)

Niwaambie tu nyie ccm... kwa nyakati hizi watu wengi wameanza kupata mwanga kiakili... unaweza kumpata na ujinga wenu kwa muda mchache ila akikutana na mwenye hoja... anabadili mawazo chap kwa haraka...

Jitahidini kutumia hoja zenye mashiko... uongo na uzushi unazidi kuwadidimiza na mnaonekana mamburula.... mnawaangusha watu smart walio katika chama chenu kwani nao inawabidi wawe waongo ili mambo yaende sawa.

Acheni izo mambo bhana.
Nadhani wewe sasa ndio unadhihirisha kwamba na ww ni mbulula,maneno mengi yasiyo na Maana ,Uongo unaosema wewe ni upi?
 
Kama unaleta maendeleo kwa wa tanzania unaachaje kua mzalendo,Ww uzalendo unautoa wao kama kila kitu ni kupinga liwe jema au baya
 
Back
Top Bottom