Kwa ubabe aliomfanyia mchina: Pelosi avalishwa medali ya heshima ya ujasiri na ushujaa!

Kwa ubabe aliomfanyia mchina: Pelosi avalishwa medali ya heshima ya ujasiri na ushujaa!

Wachina wanaungana na Kiduku, mbwembwe nyingi, zero action. Hakuna anaezuiwa kufanya mazoezi. Hata bongo pale morogoro kuna kipindi wanafanya mazoezi sana na ndege zao.
Wanasema ngoja inyeshe tuone panapovuja. Vitisho vya Russia kwa Ukraine ndivyo tunavyovishughudia China.
Lakini pia US ni mjanja sana, anawasababishia Russia na China wahangaike ili yeye aendelee kujijenga.
Ila kwa Mrusi, marekani imekwama!! Imeweka vikwazo vya kiuchumi kwa kudhani urusi itaishiwa pumzi lakini wapi!! vikwazo vinazidi kuwaumiza walioviweka! Jana Zelensky amelia lia sana kubembeleza aongezewe silaha maana urusi kaigeuza Donbass kama jehanamu kwa maneno ya Zelensky mwenyewe. Anasem,a wameshindwa kabisa kuuzima moto wa Urusi!!
 
View attachment 2312581

Pelosi receives medal of honor​

Taiwanese leader praised the US House Speaker for her stalwart support of the island.
“The speaker’s courage and actions are deeply inspiring and touching,” Tsai said, according to the South China Morning Post, as she presented Pelosi with one of the highest-rank civilian awards – the Order of Propitious Clouds with Special Grand Cordon – for her firm stance in “safeguarding freedom, democracy and human rights.”

Accepting the award, Pelosi said that Washington “will not abandon our commitment to Taiwan,” while praising Tsai as a role-model “woman president in one of the freest societies in the world.”

In turn, Tsai vowed to remain a reliable US partner and to “firmly uphold our nation’s sovereignty and continue to hold the line of defense for democracy at the same time.”

Je ni kweli anastahili kuitwa shujaa au anastahili kuitwa tu mchokozi?
Anastahili kuitwa bib betina wa USA
 
1659509051927.png

Speaker Nancy Pelosi, centre, speaks next to Taiwan President Tsai Ing-wen and American Institute in Taiwan Director Sandra Oudkirk during a meeting at the presidential office in Taipei, Taiwan August 3, 2022 [Taiwan Presidential Office/Handout via Reuters]

Mama mbabe Pelosi anaiambia China haina ubavu wa kuzuia watu marafiki kuitembelea Taiwan!!

Pelosi also said the US wants Taiwan to have freedom with security and will not back away from that. She added that while China has “stood in the way of Taiwan participating in and going to certain meetings”, it should understand that it cannot stand in the way of “people coming to Taiwan as a show of friendship”.
 
Maneno yaliyonenwa na rais wa China "Don't play with FIRE" yamejibiwa na Marekani na "DARE to bring that plane down then you shall SEE"
Wote tumejionea bibi Pelosi katua vizuri Taiwan na tabasamu pana usoni mwake.
 
bado anaweza akawashawishi wabunge yeye si ndio speaker afanye ivyo aone USA wenyewe wanamjua putin ni kiumbe gani yule jamaa atanii muulize trump na obama syria walivyofanya yani ilifikia hatua US akitaka kupiga bomu syria anaomba ruhusa Russia putin anamtip Assad anahamisha wanajeshi wake wanapiga maghala matupu then wanakuja kwenye media zao wanasema tumeipiga Russia mfano mzuri ni apo ukraine Boris,macron na olaf walivyotembelea kiev waliwasiliana direct na Russia then wakaingia
Mchambuzi was urusi Toka mchambawima [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
China ingeamua kukomaa na biashara tu!! Iachane na Taiwan kwani Taiwan ni nini bwana!! Iachane na mikwara hewa ambayo inailetea aibu tuu!! Kuunguruma kwingi kumbe hakuna hata jino moja!! Iamue kuwa ka,ma Switzerland!! Mambo ya kutunisha misuli amwachie Kiduku na Putin!!
 
Naona huyu mama huenda ana mpango wa kugombea urais wa Marekani. Ila tatizo ni kuwa Pelosi akiwa rais wa marekani, atamwaga damu sana na huenda akasababisha vita kuu ya tatu ya dunia!! Hakuogopa mkwara wa mchina. Muda huu wachina wanafanya mazoezi kuzuingukia kisiwa cha Taiwan baharini na angani!! Kimama chenyewe wala hakijali !

View attachment 2312662


View attachment 2312665

Wachina hao usiku kucha wamezunguka kisiwa cha Taiwan wakifanya mazoezi ya kivita huku Pelosi akiwa ndani ya blanketi akiuchapa usingizi wake bila hofu yoyote!! Wachina wakiwa na bendera zao za Taifa wakimsagia meno Pelosi!

Nahuko angani Taiwan pia inazungukwa na ndege za kivita za china kama hivi:

View attachment 2312667
Acha wafanye mazoezi tu, China kupambana na US bado sana.
 
1659509738444.png

Hiki ni Kisiwa cha Taiwan, na hivyo viboksi ni maeneo ambayo China anafanya mazoezi ya kijeshi! Je. Pelosi kawekwa chini ya ulinzi?( Jokes)
 
Pelosi Kawa gumuzo sana. Apewe tu, ni jasiri sana

Alimsumbua sana Trump. Na kimsingi huyu ndio chanzo mojaqapo cha Trump kutemwa pale U.S na Biden kuingia Whitehouse.

Alimzingua sana Trump kwenye ujenzi wa Ukuta kule mpakani mwa mexco.
Ukute hapo ni bonge la dhaifu kwa mwenye mali (Mume), au pengine Alisharatibiwa kimipango kuwa chanzo cha vita baina ya USA na CHINA ili uchumi wa CHINA uzorote tokana na kasi ya CHINA kuja juu sana kiuchumi kipindi hiki.
 
Ni mapema sana kusema Biden amesanda pale. Putin ni wa kawaida tu mbele ya US. Mimi kwa China sishangai sababu sijawahi kufikiria Mchina anaweza akamzingua Boss wake Marekani.
Sawa wacha tusubiri tuone.
 
View attachment 2312698
Hiki ni Kisiwa cha Taiwan, na hivyo viboksi ni maeneo ambayo China anafanya mazoezi ya kijeshi! Je. Pelosi kawekwa chini ya ulinzi?( Jokes)
Taiwan keshaanza kulalamika kuwa amezingirwa na majeshi ya China angani na baharini!!
Mimi nadhani anachokifanya China ni sawa na mbwa kubweka nje ya nyumba wakati alimruhusu mwizi kuingia ndani ya nyumba na kufanya vitu vyake! Kama alishindwa kumzuia kuingia Taiwan hawezi kumzuia kutoka na kurudi marekani kwa mbwembwe!!
 
Back
Top Bottom