mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
- Thread starter
-
- #21
Ila kwa Mrusi, marekani imekwama!! Imeweka vikwazo vya kiuchumi kwa kudhani urusi itaishiwa pumzi lakini wapi!! vikwazo vinazidi kuwaumiza walioviweka! Jana Zelensky amelia lia sana kubembeleza aongezewe silaha maana urusi kaigeuza Donbass kama jehanamu kwa maneno ya Zelensky mwenyewe. Anasem,a wameshindwa kabisa kuuzima moto wa Urusi!!Wachina wanaungana na Kiduku, mbwembwe nyingi, zero action. Hakuna anaezuiwa kufanya mazoezi. Hata bongo pale morogoro kuna kipindi wanafanya mazoezi sana na ndege zao.
Wanasema ngoja inyeshe tuone panapovuja. Vitisho vya Russia kwa Ukraine ndivyo tunavyovishughudia China.
Lakini pia US ni mjanja sana, anawasababishia Russia na China wahangaike ili yeye aendelee kujijenga.
Anastahili kuitwa bib betina wa USAView attachment 2312581
Pelosi receives medal of honor
Taiwanese leader praised the US House Speaker for her stalwart support of the island.
“The speaker’s courage and actions are deeply inspiring and touching,” Tsai said, according to the South China Morning Post, as she presented Pelosi with one of the highest-rank civilian awards – the Order of Propitious Clouds with Special Grand Cordon – for her firm stance in “safeguarding freedom, democracy and human rights.”
Accepting the award, Pelosi said that Washington “will not abandon our commitment to Taiwan,” while praising Tsai as a role-model “woman president in one of the freest societies in the world.”
In turn, Tsai vowed to remain a reliable US partner and to “firmly uphold our nation’s sovereignty and continue to hold the line of defense for democracy at the same time.”
Je ni kweli anastahili kuitwa shujaa au anastahili kuitwa tu mchokozi?
Naunga mkono hoja, huyu mama si mchezo!!
Mchambuzi was urusi Toka mchambawima [emoji1787][emoji1787][emoji1787]bado anaweza akawashawishi wabunge yeye si ndio speaker afanye ivyo aone USA wenyewe wanamjua putin ni kiumbe gani yule jamaa atanii muulize trump na obama syria walivyofanya yani ilifikia hatua US akitaka kupiga bomu syria anaomba ruhusa Russia putin anamtip Assad anahamisha wanajeshi wake wanapiga maghala matupu then wanakuja kwenye media zao wanasema tumeipiga Russia mfano mzuri ni apo ukraine Boris,macron na olaf walivyotembelea kiev waliwasiliana direct na Russia then wakaingia
NakaziaHuyu mama angekuwa ndio Rais huenda Putin asingeleta upuuzi wake kwa Ukraine
Ni mapema sana kusema Biden amesanda pale. Putin ni wa kawaida tu mbele ya US. Mimi kwa China sishangai sababu sijawahi kufikiria Mchina anaweza akamzingua Boss wake Marekani.Kile ndio chuma Sasa sio hawa wachina. Bush,Obama,Trump mpaka Sasa Biden wote wamesanda pale.
Acha wafanye mazoezi tu, China kupambana na US bado sana.Naona huyu mama huenda ana mpango wa kugombea urais wa Marekani. Ila tatizo ni kuwa Pelosi akiwa rais wa marekani, atamwaga damu sana na huenda akasababisha vita kuu ya tatu ya dunia!! Hakuogopa mkwara wa mchina. Muda huu wachina wanafanya mazoezi kuzuingukia kisiwa cha Taiwan baharini na angani!! Kimama chenyewe wala hakijali !
View attachment 2312662
View attachment 2312665
Wachina hao usiku kucha wamezunguka kisiwa cha Taiwan wakifanya mazoezi ya kivita huku Pelosi akiwa ndani ya blanketi akiuchapa usingizi wake bila hofu yoyote!! Wachina wakiwa na bendera zao za Taifa wakimsagia meno Pelosi!
Nahuko angani Taiwan pia inazungukwa na ndege za kivita za china kama hivi:
View attachment 2312667
China anatunga sheria. Subiri!Hahaha mmegeuka na kuwakana wacnina?
wanamlinda Boss NancyView attachment 2312698
Hiki ni Kisiwa cha Taiwan, na hivyo viboksi ni maeneo ambayo China anafanya mazoezi ya kijeshi! Je. Pelosi kawekwa chini ya ulinzi?( Jokes)
Putin yupo pale kitini toka 99, sasa angalia toka 99 mpaka leo US wamepitia marais wangapi? Sembuse huyo bibi? Awachezee wachina na waarabu huko...Huyu mama angekuwa ndio Rais huenda Putin asingeleta upuuzi wake kwa Ukraine
Ukute hapo ni bonge la dhaifu kwa mwenye mali (Mume), au pengine Alisharatibiwa kimipango kuwa chanzo cha vita baina ya USA na CHINA ili uchumi wa CHINA uzorote tokana na kasi ya CHINA kuja juu sana kiuchumi kipindi hiki.Pelosi Kawa gumuzo sana. Apewe tu, ni jasiri sana
Alimsumbua sana Trump. Na kimsingi huyu ndio chanzo mojaqapo cha Trump kutemwa pale U.S na Biden kuingia Whitehouse.
Alimzingua sana Trump kwenye ujenzi wa Ukuta kule mpakani mwa mexco.
Mahaba niueNi mapema sana kusema Biden amesanda pale. Putin ni wa kawaida tu mbele ya US. Mimi kwa China sishangai sababu sijawahi kufikiria Mchina anaweza akamzingua Boss wake Marekani.
Sawa wacha tusubiri tuone.Ni mapema sana kusema Biden amesanda pale. Putin ni wa kawaida tu mbele ya US. Mimi kwa China sishangai sababu sijawahi kufikiria Mchina anaweza akamzingua Boss wake Marekani.
Taiwan keshaanza kulalamika kuwa amezingirwa na majeshi ya China angani na baharini!!View attachment 2312698
Hiki ni Kisiwa cha Taiwan, na hivyo viboksi ni maeneo ambayo China anafanya mazoezi ya kijeshi! Je. Pelosi kawekwa chini ya ulinzi?( Jokes)
Rudia tena kusoma ulicho qoute na ulicho comment.Putin yupo pale kitini toka 99, sasa angalia toka 99 mpaka leo US wamepitia marais wangapi? Sembuse huyo bibi? Awachezee wachina na waarabu huko...