round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Huko kwa nchi za ulaya anakosema anaenda kutafuta sapoti labda ni faraja tu lakini kwenye suala la pesa na vifaa atazungushwa sana.
Kwenye umoja wa ulinzi wa nchi za ulaya na Marekani, ni Marekani ndie anaachangia zaidi kuliko nchi zote za NATO, bila Marekani NATO inayumba
Marekani inatoa misaada zaidi kwenye mashirika ya umoja wa matafia mfano shirika la afya, wote tumeona mchango wa Marekani pale alipotaka kuondoka kulikuwa na kelele dunia nzima wakati shirika hilo lina nchi zaidi ya 190.
Hizo nchi za ulaya hata zijikusanye hawawezi kumudu kumpa Zelensky msaada wa Dola bilioni 30 bure kama msaada (Theluthi ya msaada uliotolewa na Marekani kwa Ukraine)
Mwisho wa yote haya Zelensky atarudi white house kwa iabu kuomba msamaha kusaini mkataba wa amani
Kwenye umoja wa ulinzi wa nchi za ulaya na Marekani, ni Marekani ndie anaachangia zaidi kuliko nchi zote za NATO, bila Marekani NATO inayumba
Marekani inatoa misaada zaidi kwenye mashirika ya umoja wa matafia mfano shirika la afya, wote tumeona mchango wa Marekani pale alipotaka kuondoka kulikuwa na kelele dunia nzima wakati shirika hilo lina nchi zaidi ya 190.
Hizo nchi za ulaya hata zijikusanye hawawezi kumudu kumpa Zelensky msaada wa Dola bilioni 30 bure kama msaada (Theluthi ya msaada uliotolewa na Marekani kwa Ukraine)
Mwisho wa yote haya Zelensky atarudi white house kwa iabu kuomba msamaha kusaini mkataba wa amani