Kwa ubora na ukubwa wa Wydad bingwa mtetezi CAFCL, ilitegemewa wangepata ushindi mnono

Kwa ubora na ukubwa wa Wydad bingwa mtetezi CAFCL, ilitegemewa wangepata ushindi mnono

Sultan MackJoe Khalifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2022
Posts
6,782
Reaction score
14,148
Thamani ya kikosi, ubora na ukubwa wa Wydad ilitegemewa Wydad wangepata ushindi mnono wa zaidi ya goli tatu lakini haikuwa hivyo.

Well done kwa Simba hakika wameonesha uwezo mbele ya Wydad AC bingwa mtetezi wa cafcl.

CAF kuichagua Simba kutoka ukanda wa SADC kuwemo kwenye michuano ya Super cup ulikuwa ni uchaguzi sahihi, hakika Simba wataleta ushindani unaotegemewa kwenye michuano hiyo ya timu bora nane zitakazochuana.

Kwa jitihada za benchi la ufundi, wachezaji,uongozi na mashabiki hakika hawana deni, kazi nzuri imefanyika na kwa Simba alipofikia haizuwii wanasimba kuvimba💪💪.

Kutolewa CAFCL sio mwisho wa Simba kucheza mechi za kimataifa,Super cup kituo kinachofuata.
"Super cup kazi iendelee"

Simba Nguvu moja.
 
Mimetolewa ila nimefarijika. Robatinyo akisajiri kikosi yeye mwenyewe kotakuwa moto wa kuotea karibu.
kabisa ukiangalia Simba alivyosuasua mechi za kwanza group stage mpaka alivyochanganya utagundua mwalimu Robatinyo amenza kuchanja mbuga kwa wachezaji aliowakuta kwenye timu sio usajili wake.
 
Sasa kwa uchezaji wa kupaki basi mwanzo mwisho ulitegemea watafungaje hayo magoli?
 
Back
Top Bottom