Kwa ubunifu huu Platnumz ataendelea kutamba kwa miaka kadhaa ijayo

Kwa ubunifu huu Platnumz ataendelea kutamba kwa miaka kadhaa ijayo

Licha ya kutaka tu mziki mzuri lakini tunapenda vionjo vingine pia kutoka kwa Mwanamuziki. Msanii/Mwanamuziki/Mburudishaji yafaa kuishi kisanii kama kazi uliyochagua inavyokutaka na si kuleta mambo ya faragha au kujifanya mwenye staha saana (mradi usivunje sheria).

*Fashion, namna anavyovaa.
*Mwonekano, Asikwambie mtu mwonekano hasa body unasaidia sana kuigusa hadhira.
*Kujithaminisha, jifanye ghali sio wa rahisirahisi.
*Dance/Cheza, Hili hadhira inafurahishwa nalo sana!
*Life style ya kisanii.
*Mbinu kali katika kutafuta na kuyaona masoko ya muziki/bidhaa yako.

Jamaa ni msanii aliyekamilika kwa ninavyomtazama, anajua sana kizazi hiki kinataka nini kutoka kwa msanii/mburudishaji na anatupatia kwa kweli.

Hili limefanya karibu Media zote hasa hizi Online kujikuta zinahitaji mno habari za Diamond ili kujitengenezea wafuatiliaji wa media zao.

Yaani kwa sasa media isiyoandika au kuzungumzia Diamond na WCB kwa ujumla inajichelewesha yenyewe!!

Tukubali au tukatae lakini Diamond anabaki kuwa ndie alama au dira kwa upande wa burudani hasa ya kizazi kipya hapa Tanzania. Ni vile tu Sisi weusi tumeumbwa kuchukia wanaofanikiwa kuliko kujifunza kupitia kwao!

Big up Platnumz.
Sawa Mkuu Ubunifu mzuri wa DAYAMONDi hivyo ataendelea kutamba mpaka mwisho.
 
diamond ni tafsiri halisi ya mafanikio kwa vijana wengi.

tatizo lake kuna katabia analakaendekeza kwa kigezo cha ubinaadamu,USWAHILI.

kuna upupu anafanya wakati mwingine unaona daah,hii ilikuwa na ulazima kuifanya kweli!!!
naweza sema kitu kimoja anachozidiwa mond na the late MJ ni ile hali ya kutokuwa na kifua.

kile kijamaa kilikuwa na sura mbili,ya jukwaani na kukutania na watu,hapa ilikuwa lazima ujiulize,ni yule kichaa wa stage ninayeongea naye hapa au???

anyway ni ngumu kuzuia hisia za furaha ya kutoboa baada ya kusota sana.
 
diamond ni tafsiri halisi ya mafanikio kwa vijana wengi.

tatizo lake kuna katabia analakaendekeza kwa kigezo cha ubinaadamu,USWAHILI.

kuna upupu anafanya wakati mwingine unaona daah,hii ilikuwa na ulazima kuifanya kweli!!!
naweza sema kitu kimoja anachozidiwa mond na the late MJ ni ile hali ya kutokuwa na kifua.

kile kijamaa kilikuwa na sura mbili,ya jukwaani na kukutania na watu,hapa ilikuwa lazima ujiulize,ni yule kichaa wa stage ninayeongea naye hapa au???

anyway ni ngumu kuzuia hisia za furaha ya kutoboa baada ya kusota sana.
Mia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Licha ya kutaka tu mziki mzuri lakini tunapenda vionjo vingine pia kutoka kwa Mwanamuziki. Msanii/Mwanamuziki/Mburudishaji yafaa kuishi kisanii kama kazi uliyochagua inavyokutaka na si kuleta mambo ya faragha au kujifanya mwenye staha saana (mradi usivunje sheria).

*Fashion, namna anavyovaa.
*Mwonekano, Asikwambie mtu mwonekano hasa body unasaidia sana kuigusa hadhira.
*Kujithaminisha, jifanye ghali sio wa rahisirahisi.
*Dance/Cheza, Hili hadhira inafurahishwa nalo sana!
*Life style ya kisanii.
*Mbinu kali katika kutafuta na kuyaona masoko ya muziki/bidhaa yako.

Jamaa ni msanii aliyekamilika kwa ninavyomtazama, anajua sana kizazi hiki kinataka nini kutoka kwa msanii/mburudishaji na anatupatia kwa kweli.

Hili limefanya karibu Media zote hasa hizi Online kujikuta zinahitaji mno habari za Diamond ili kujitengenezea wafuatiliaji wa media zao.

Yaani kwa sasa media isiyoandika au kuzungumzia Diamond na WCB kwa ujumla inajichelewesha yenyewe!!

Tukubali au tukatae lakini Diamond anabaki kuwa ndie alama au dira kwa upande wa burudani hasa ya kizazi kipya hapa Tanzania. Ni vile tu Sisi weusi tumeumbwa kuchukia wanaofanikiwa kuliko kujifunza kupitia kwao!

Big up Platnumz.

Anajua kupambania kombe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom