Kwa uchunguzi niliyofanya nimegundua mwanaume akifika miaka 40+ huwa anapata balehe tena!

Kwa uchunguzi niliyofanya nimegundua mwanaume akifika miaka 40+ huwa anapata balehe tena!

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Uchunguzi huu nimeufanya mara kadhaa sasa nimejiridhisha kuwa mwanaume huwa anabalehe kwa mara ya pili akifika umri wa miaka 40.

Katika umri huu mwanaume anakuwa kama teenager wa miaka 16. Utashangaa anafukuzia vibinti vidogo ila yeye hajali anaona ni kama age mate wake licha ya watu kumwona wa ajabu na kumwita majina ya fataki, kidumu cha petrol.

Mwanaume katika umri huu humwona mkewe aliyemuoa kwenye ujana kama Mzee na huanza kumkimbia na kuwinda vibinti vidogo vya umri wake wa balehe ya mara ya pili.

Mwanaume katika umri huu 40+ huwaza kama kijana mdogo na damu Huwa moto.

Wanawake jaribu kutuelewa sisi wanaume.
 
Wengi mfukoni panakua pameshatulia umri huo na wengine washakubaliana na hali zao na wanakimbiza vibinti vidogo sababu demand zao sio kubwa sana,,,,,,we nenda tongoza mdada wa 28+ hapo hasa hawa wenye 30 wengi tayari wanakua na majukumu, kujiweka hapo unaweza ukatakiwa kulipia kodi ya nyumba au kama ana watoto kuna mambo ya ada na vitu vingine,,ukijipatia kabinti ka chuo hao sanasana ni kula bata tu au kama kapanga bas kachumba kakisela tu
 
Uchunguzi huu nimeufanya mara kadhaa Sasa nimejiridhisha kuwa mwanaume Huwa anabalehe Kwa mara ya pili akifika umri wa miaka 40

Katika umri huu mwanaume anakuwa kama teenager wa miaka 16
Utashangaa anafukuzia vibinti vya form 3 ila yeye hajali anaona ni kama age mate wake licha ya watu kumwona wa ajabu na kumwita majina ya fataki, kidumu cha petrol

Mwanaume katika umri huu humwona mkewe aliyemuoa kwenye ujana kama Mzee na huanza kumkimbia na kuwinda vibinti vidogo vya umri wake wa balehe ya mara ya pili.

Mwanaume katika umri huu 40+ huwaza kama kijana mdogo na damu Huwa moto.

Wanawake jaribu kutuelewa sisi wanaume
😂😂😂 huu umri mazee tayari ana appointment za kila mwezi kuchukua dawa za presha na sukari.

Ana mashaka kama mashine inafanya kazi kisawa sawa anaona ajaribu ligi nyingine kuthibitisha
 
Wengi mfukoni panakua pameshatulia umri huo na wengine washakubaliana na hali zao na wanakimbiza vibinti vidogo sababu demand zao sio kubwa sana,,,,,,we nenda tongoza mdada wa 28+ hapo hasa hawa wenye 30 wengi tayari wanakua na majukumu, kujiweka hapo unaweza ukatakiwa kulipia kodi ya nyumba au kama ana watoto kuna mambo ya ada na vitu vingine,,ukijipatia kabinti ka chuo hao sanasana ni kula bata tu au kama kapanga bas kachumba kakisela tu
Hakika mkuu
 
Uchunguzi huu nimeufanya mara kadhaa Sasa nimejiridhisha kuwa mwanaume Huwa anabalehe Kwa mara ya pili akifika umri wa miaka 40

Katika umri huu mwanaume anakuwa kama teenager wa miaka 16
Utashangaa anafukuzia vibinti vya form 3 ila yeye hajali anaona ni kama age mate wake licha ya watu kumwona wa ajabu na kumwita majina ya fataki, kidumu cha petrol

Mwanaume katika umri huu humwona mkewe aliyemuoa kwenye ujana kama Mzee na huanza kumkimbia na kuwinda vibinti vidogo vya umri wake wa balehe ya mara ya pili.

Mwanaume katika umri huu 40+ huwaza kama kijana mdogo na damu Huwa moto.

Wanawake jaribu kutuelewa sisi wanaume
Uko bar gani mkuu niku join tukamilishe hii research
 
😂😂😂 huu umri mazee tayari ana appointment za kila mwezi kuchukua dawa za presha na sukari.

Ana mashaka kama mashine inafanya kazi kisawa sawa anaona ajaribu ligi nyingine kuthibitisha
Yaani 40+ na dawa za pressure ameshaanza kumeza?
 
Yaani 40+ na dawa za pressure ameshaanza kumeza?
Na masharti ya chakula juu 😂 denial tu inawafanya wameze dawa kwa kubipu. 50+ anapata stroke akili inakaa sawa 💀
 
Na masharti ya chakula juu 😂 denial tu inawafanya wameze dawa kwa kubipu. 50+ anapata stroke akili inakaa sawa 💀
Huwezi kuwa serious mkuu. At 40 mbona tupo sawa na maradhi ya pressure, diabetes nk bado sana. Games zetu ni za vishindo sana. Anachosema mleta mada kina kaukweli kiasi, japo sio wote wanaangukia kwa vibinti vidogo.
 
😂😂😂 huu umri mazee tayari ana appointment za kila mwezi kuchukua dawa za presha na sukari.

Ana mashaka kama mashine inafanya kazi kisawa sawa anaona ajaribu ligi nyingine kuthibitisha
Kwa 40 bado sana,labda awe amerithi magonjwa au matatizo mengine,hapo labda Mwanamke
 
Huwezi kuwa serious mkuu. At 40 mbona tupo sawa na maradhi ya pressure, diabetes nk bado sana. Games zetu ni za vishindo sana. Anachosema mleta mada kina kaukweli kiasi, japo sio wote wanaangukia kwa vibinti vidogo.
Umepima? Wengi wanagundulika kwa bahati tu si kwamba amejiendea na dalili yoyote ya udhaifu wa mwili
 
Back
Top Bottom