ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Uchunguzi huu nimeufanya mara kadhaa sasa nimejiridhisha kuwa mwanaume huwa anabalehe kwa mara ya pili akifika umri wa miaka 40.
Katika umri huu mwanaume anakuwa kama teenager wa miaka 16. Utashangaa anafukuzia vibinti vidogo ila yeye hajali anaona ni kama age mate wake licha ya watu kumwona wa ajabu na kumwita majina ya fataki, kidumu cha petrol.
Mwanaume katika umri huu humwona mkewe aliyemuoa kwenye ujana kama Mzee na huanza kumkimbia na kuwinda vibinti vidogo vya umri wake wa balehe ya mara ya pili.
Mwanaume katika umri huu 40+ huwaza kama kijana mdogo na damu Huwa moto.
Wanawake jaribu kutuelewa sisi wanaume.
Katika umri huu mwanaume anakuwa kama teenager wa miaka 16. Utashangaa anafukuzia vibinti vidogo ila yeye hajali anaona ni kama age mate wake licha ya watu kumwona wa ajabu na kumwita majina ya fataki, kidumu cha petrol.
Mwanaume katika umri huu humwona mkewe aliyemuoa kwenye ujana kama Mzee na huanza kumkimbia na kuwinda vibinti vidogo vya umri wake wa balehe ya mara ya pili.
Mwanaume katika umri huu 40+ huwaza kama kijana mdogo na damu Huwa moto.
Wanawake jaribu kutuelewa sisi wanaume.