Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Part 2 ni ukiwa mstaafu mwenye pensheni. Aaah, lazima urudi kuwa kijana😂Mkuu kwa hiyo hii balehe inavyonisumbua hivii kuna part two tena?? 😔😔
Balehe itanoga endapo na pensheni yenyewe unayo 😂😂😂Part 2 ni ukiwa mstaafu mwenye pensheni. Aaah, lazima urudi kuwa kijana😂
EwaaaaBalehe itanoga endapo na pensheni yenyewe unayo 😂😂😂
Nahisi kuna ukweli maana,dahUchunguzi huu nimeufanya mara kadhaa sasa nimejiridhisha kuwa mwanaume huwa anabalehe kwa mara ya pili akifika umri wa miaka 40.
Katika umri huu mwanaume anakuwa kama teenager wa miaka 16. Utashangaa anafukuzia vibinti vidogo ila yeye hajali anaona ni kama age mate wake licha ya watu kumwona wa ajabu na kumwita majina ya fataki, kidumu cha petrol.
Mwanaume katika umri huu humwona mkewe aliyemuoa kwenye ujana kama Mzee na huanza kumkimbia na kuwinda vibinti vidogo vya umri wake wa balehe ya mara ya pili.
Mwanaume katika umri huu 40+ huwaza kama kijana mdogo na damu Huwa moto.
Wanawake jaribu kutuelewa sisi wanaume.