Kwa uelekeo huu, Dr. Wilbroad Slaa anaweza kurejea CHADEMA

Kwa uelekeo huu, Dr. Wilbroad Slaa anaweza kurejea CHADEMA

Asijichanganye, sisi wafuasi wake tunajua amestaafu siasa. Akitaka kulinda heshima yake abakie mtoa maoni tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

..Dr.Slaa alishajichanganya kwa kumtetea Jpm muuaji.

..Pia alianza kuwasema vibaya Chadema badala ya kuwatetea dhidi ya uovu waliokuwa wakitendewa na Jpm.

..Lowassa aliyemkimbia Chadema amerudi Ccm na kupokewa kwa heshima na taratibu zote.

..Dr arudi Chadema, waombane radhi, mapambano ya haki na katiba bora yaendelee.
 
Dr slaa apumzike siasa maana hana nguvu tena kama alivyokuwa awamu ile ya kikwete. Istoshe hata kama atarudi Chadema hawezi kuaminika tena katika nafasi yoyote ya juu kiongozi, anaweza kuwa kanjanja.
 
Slaa ni mchumia tumbo tu, ccm walimhonga akajifanya kwenda Canada lkn balance iliyokuwa imebaki wakamlalia hawakumpa na badala yake wakampa fadhila ya ubalozi na baadaye wakamwambia sasa fadhila imeisha.

Slaa hafai kurudi Chadema kwa sababu ana bei, akae tu huko kwa hao waliomnunua.

Slaa is a spent force.
 
Mwanadiplomasia, Padre na mwanaharakati Dr. Slaa ameonyesha Nia yake kuzirejea siasa za chadema na kuachana na siasa za CCM.

Ikumbukwe kwamba Dr. Slaa pamoja na kuteuliwa kuwa balozi hajawahi kutangaza KUJIUNGA NA chama cha mapinduzi Bali aliwahi kutangaza kuuchana na siasa.

Pamoja na kuachana na siasa lakini maoni na mapendekezo yake kuhusu siasa za Tanzania yamerudi kuwa yaleyale ya mfumo WA chadema Jambo linalomtenga na watawala wa sasa.

Swali, je tutegemee siku moja kumwoma Dr. Slaa akiwa kwenye meza moja ya majadiliano kuhusu hatma ya Tanzania? Tutegemee Lisu na Dr. Slaa kukutana katika meza ya duara? Tutegemee Lisu kwenda nyumbani Kwa Dr au Dr kwenda kumsabahi Lisu atakaporejea?

Tumezoea vyama vikongwe Duniani vikijiwekea utaratibu wakuwatembelea waasisi na wale waliowahi kuhudumu chini Yao Kwa lengo la kudumisha UMOJA. Je Chadema ina program hiyo?

Endapo tunajadili maridhiano kwanini ndani ya wanachadema hatuoni wakiridhiana?
Never trust a politician
 
Sawa lakini atubu Kwanza maana aliwahi kusema chadema waliingiza kinyesi sebuleni
Atubu kitu gani? Kwani ni uongo kuwa waliingiza kinyesi sebuleni?
Kinyesi Kimenuka hadi wote wamepoteana!
 
Mwanadiplomasia, Padre na mwanaharakati Dr. Slaa ameonyesha Nia yake kuzirejea siasa za chadema na kuachana na siasa za CCM.

Ikumbukwe kwamba Dr. Slaa pamoja na kuteuliwa kuwa balozi hajawahi kutangaza KUJIUNGA NA chama cha mapinduzi Bali aliwahi kutangaza kuuchana na siasa.

Pamoja na kuachana na siasa lakini maoni na mapendekezo yake kuhusu siasa za Tanzania yamerudi kuwa yaleyale ya mfumo WA chadema Jambo linalomtenga na watawala wa sasa.

Swali, je tutegemee siku moja kumwoma Dr. Slaa akiwa kwenye meza moja ya majadiliano kuhusu hatma ya Tanzania? Tutegemee Lisu na Dr. Slaa kukutana katika meza ya duara? Tutegemee Lisu kwenda nyumbani Kwa Dr au Dr kwenda kumsabahi Lisu atakaporejea?

Tumezoea vyama vikongwe Duniani vikijiwekea utaratibu wakuwatembelea waasisi na wale waliowahi kuhudumu chini Yao Kwa lengo la kudumisha UMOJA. Je Chadema ina program hiyo?

Endapo tunajadili maridhiano kwanini ndani ya wanachadema hatuoni wakiridhiana?
Hoja nzuri.

Maridhiano ya CCM yakiendelea, maridhiano na Rr Slaa yaendelee.

Dr Slaa amesema yeyote Kutoka CDM au chama kingine wanaruhusiwa kumuomba ushauri wa kujenga Nchi.

John Mnyika tafadhali nenda uendelee kupata shule Kwa mtu yule.

Aamen
 
..Dr.Slaa alishajichanganya kwa kumtetea Jpm muuaji.

..Pia alianza kuwasema vibaya Chadema badala ya kuwatetea dhidi ya uovu waliokuwa wakitendewa na Jpm.

..Lowassa aliyemkimbia Chadema amerudi Ccm na kupokewa kwa heshima na taratibu zote.

..Dr arudi Chadema, waombane radhi, mapambano ya haki na katiba bora yaendelee.
Magu Alijitahidi kutekeleza ilani ya CDM, alicopy mengi na kutekeleza, treni ya Umeme aloahidi Slaa, Magu alicopy,

Slaa Si mnafiki, mtu aliyedhamiria kulisaidi taifa lazima amuunge mkono.

Magu alikosea sana kuminya demokracy, bt alikuwa MZALENDO .
 
Mwanadiplomasia, Padre na mwanaharakati Dr. Slaa ameonyesha Nia yake kuzirejea siasa za chadema na kuachana na siasa za CCM...
Sijui aisee.

Huyu Mzee ana msimamo japo Kwa muelekeo was maoni yake ni kama amesharudi.

Kuna uwezekano
 
Mwanadiplomasia, Padre na mwanaharakati Dr. Slaa ameonyesha Nia yake kuzirejea siasa za chadema na kuachana na siasa za CCM.

Ikumbukwe kwamba Dr. Slaa pamoja na kuteuliwa kuwa balozi hajawahi kutangaza KUJIUNGA NA chama cha mapinduzi Bali aliwahi kutangaza kuuchana na siasa.

Pamoja na kuachana na siasa lakini maoni na mapendekezo yake kuhusu siasa za Tanzania yamerudi kuwa yaleyale ya mfumo WA chadema Jambo linalomtenga na watawala wa sasa.

Swali, je tutegemee siku moja kumwoma Dr. Slaa akiwa kwenye meza moja ya majadiliano kuhusu hatma ya Tanzania? Tutegemee Lisu na Dr. Slaa kukutana katika meza ya duara? Tutegemee Lisu kwenda nyumbani Kwa Dr au Dr kwenda kumsabahi Lisu atakaporejea?

Tumezoea vyama vikongwe Duniani vikijiwekea utaratibu wakuwatembelea waasisi na wale waliowahi kuhudumu chini Yao Kwa lengo la kudumisha UMOJA. Je Chadema ina program hiyo?

Endapo tunajadili maridhiano kwanini ndani ya wanachadema hatuoni wakiridhiana?
Mzee wa miaka 80 aje afanye nini Chadema?
 
Namuona Lipumba kwenye sura ya Dr Slaa(yale ya Cuf atayafanya Chadema) kama kweli watampokea.
 
Balozi Silaa ni moja ya wanasiasa tunaowaheshimu sana.

Asirudi kwa walamba asali, ataua legacy yake ya siasa za msimamo sahihi - kutetea wanyonge na masilahi ya nchi kwa kupambana na rushwa.

Ninaamini hawezi kufanya hilo kosa.
ukiambiwa uthibitishe walipolamba asali utaanza kujitia vidole makalioni na kumusa mwenyewe
mikutano imerudi hakuna hata aliyepigwa kofi kwakuwa nchi ipo mikono salama
 
Back
Top Bottom