Kwa ufaulu huu, je naweza kupata nafasi ya kusoma Bachelor Degree in Civil Engineering hapa Tanzania?

Kwa ufaulu huu, je naweza kupata nafasi ya kusoma Bachelor Degree in Civil Engineering hapa Tanzania?

amaregesii

New Member
Joined
Jun 17, 2022
Posts
4
Reaction score
1
Nina dogo langu kamaliza diploma in civil engineering (DIT) mwaka 2022 hapo tu, ana overall GPA ya 2.8, lakini GPA yake ya mwaka wa mwisho ni 3.1.

Sasa swali langu ni kwamba je, TCU wanaangalia overall GPA ya miaka yote mitatu ya diploma aliosoma au ya mwaka wa mwisho?

Maana siku za dirisha la tatu zimebaki chache na bado hatujajua cha kufanya.
 
Nina dogo langu kamaliza diploma in civil engineering (DIT) mwaka 2022 hapo tu, ana overall GPA ya 2.8, lakini GPA yake ya mwaka wa mwisho ni 3.1...
Kwenye cheti chako cha kumaliza diploma kimewekwa gpa ipi? Kama kimewekewa 2.8 ndio gpa yako hiyo ya level ya diploma.
 
Kwenye cheti chako cha kumaliza diploma kimewekwa gpa ipi? Kama kimewekewa 2.8 ndio gpa yako hiyo ya level ya diploma.
Kwenye transcript yake inasoma ndio 2.8. ila ss application za chuo kwenda degree wanaangalia ya miaka yote ya diploma au mwaka wa mwisho ?
 
Nina dogo langu kamaliza diploma in civil engineering (DIT) mwaka 2022 hapo tu, ana overall GPA ya 2.8, lakini GPA yake ya mwaka wa mwisho ni 3.1...
Akasome foundation programme mwaka mmoja open university.Akifaulu atakuwa na vigezo vya kuendelea na bachelor degree kama ndiyo ndoto yake.Tofauti na hapo hana vigezo vya ku join bachelor kwa GPA hiyo.
 
Back
Top Bottom