Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kwani Yericko hana sifa ya kushiriki hapa jf,hivi hapo wewe utakemea ubaguzi?Kweli Magufuli kafa
Hadi Yericko karudi kutujazia threads humu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Yericko hana sifa ya kushiriki hapa jf,hivi hapo wewe utakemea ubaguzi?Kweli Magufuli kafa
Hadi Yericko karudi kutujazia threads humu??
Ni rahisi ngamia apenye tundu la sindano ila ngumu CCM kufa.nani aiue CCM?Cha muhimu ccm ianguke.
Tunacho furahia watanzania ni kuwa MATAGA sasa ni watoto yatimaEndelea kuwa na matumaini ya kumkamua beberu ili upate maziwa
CCM haiwezi kuanguka kwa sasa.Cha muhimu ccm ianguke.
Hata wewe ni mfungwa mtarajiwa hivyo chunga sana mdomo wakoNilisikia umefungwa kaka. Je ni kweli?
Ukanda ule R&L ni shida sanaBashiru ni mtu wa hovyo sana kuwahi kutokea ndiyo maana hajui kiswahili mpaka leo R&L
AminaCCM ianguke ife ipotee kwenye uso wa dunia na isikumbukwe kamwe
Pia wewe ni criminal mtarajiwa ili mradi bado unapumua hapa dunianiA story from convicted criminal
Hata akiwa waziri lakini cha moto amekiona kwa muda huu mfupiNgojeni siku msikie bashiru kawa wazir
Ova
Itauwawa na wana ccm wenyewe.Ni rahisi ngamia apenye tundu la sindano ila ngumu CCM kufa.nani aiue CCM?
Kabisa, nashangaa wanaoshangulia eti kapotezwa wakati mtu kawekwa kwenye laini ulaji!Huyu anakuja kuwa waziri muda si mrefu
Ova
Umewasahau wazazi wako huko kwenu Ngara unategemea kuwaramba miguu kina chakubangaHahahaha bwana Jasusi welcome back!
CCM mbele kwa mbele
Bashiru amekiona cha moto kipi?Hata akiwa waziri lakini cha moto amekiona kwa muda huu mfupi
Umewasahau wazazi wako huko kwenu Ngara unategemea kuwaramba miguu kina chakubanga
Hii cord hata mimi nimedokezwa.Huyu anakuja kuwa waziri muda si mrefu
Ova
Mbele kwa mbele kwa wizi wa kulaNaheshimu maoni yako!
CCM mbele kwa mbele
Kweli mzee huyu ana safari ndefuHii cord hata mimi nimedokezwa.
Watu wanahisi chuki walizonazo wao kwenye mioyo yao kwa Bashiru na mama ndo yupo hivyo,Kakurwa hata ubunge asingeteuliwa kama Rais asingemuhitaji kabisa.
Hakuna wa kumzuia mama kupanga safu anayotaka.
Kawekwa kwenye pump ya mafuta kabisaKabisa, nashangaa wanaoshangulia eti kapotezwa wakati mtu kawekwa kwenye laini ulaji!
Nlichojifunza pia watu wengi wamekuwa brainwashed na yule jamaa wa twiter hivyo hata ku reason tu kwao ni shida