Hahaha dahHata akiwa waziri lakini cha moto amekiona kwa muda huu mfupi
Unaishi zama zipi!?? Mama ndiyo Amiri Jeshi mkuu, ndiye mtu mwenye nguvu kuliko yeyote katika nchi hii. Anaweza kuifumua na kuifuma nchi atakavyo na hata hiyo CCM anaweza kuifanya apendavyo na asiwepo wa kumzuia. Katiba yetu imemfanya Rais kuwa mungu mtu so usitegemee upinzani wowote kwa Mama zaidi tegemea kuwaona hao unaodhani wanaweza kumkwamisha mama wakimsujudia ili mkono uende kinywani.Kwanza huyu mama ni raisi was kuchaguliwa kwa sanduku la kura????...
Kwa mwenendo huu wa kufumbua majembe ya mwendazake asitegemee kupitishwa uchaguzi ujao.
Angewqacha watendaji wote aliowaamini mtangulizi wake ingemoa afadhari ya kufikiriwa Huko mbeleni.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Tuwape pole wana Washington waishiyo mwanzasiasa za Washington ambako umaarufu wa mtu kisiasa unaweza kuibuka kama uyoga na kuanguka ghafla kama jani kavu
Mapenzi haya na yatimieHili ndio kubwa kuliko....
Wanasema eti huko bungeni ndio atakuwa akijibu maswal ya nyongezaPale bungeni ndio ameenda kupata platform ya kumuinua na kuonekana kwa jamii. Siyo ukatibu mkuu kiongozi
Poa poa tumekusikia, turudi kwenye mada husika.Mkuu ushaanza kuokoteza hoja ili upate wajinga wa kuwapiga ktk kitabu chako cha ujasusi koko. Ila ndo hivyo wajinga ndio waliwao
Mbinu zako zote za matusi zimekuishia ukaona uingilie matamshi ya herufi?! Wewe kiboko!Bashiru ni mtu wa hovyo sana kuwahi kutokea ndiyo maana hajui kiswahili mpaka leo R&L
Yerico kama Yerico mkukima wa Bamia umerudi.Kwa Marekani wataalamu wa siasa za ndani kama Bob Bequn wanasema hivi "Siasa za Marekani zimegawanyika katika makundi makuu manne, kwanza ni siasa za Washington ambako umaarufu wa mtu kisiasa unaweza kuibuka kama uyoga na kuanguka ghafla kama jani kavu. Pili ni siasa za New York ambako siasa zake ni za kisanyansi zaidi na kwamba majasusi huinjinia zaidi kuliko vipawa vya siasa, Tatu ni siasa za Chicago ambako nyingi ni za huruma zenye ubaguzi, na nne ni siasa za Arizona ambazo ni za kiliberali.
Kwa Tanzania siasa za Dar es Salama ni moja ya siasa ambazo mtu anaibuka leo na kuwa mwanasiasa mkubwa sana wakuogopwa kisha kesho anazima mpaka kwenye sifuri kabisa na ikimpendeza tunaweka matanga na tanga ndugu. Pole sana Bashiru, dola imeshindwa kukubakiza katika madaraka!
Kwamaneno matatu tu, Utawala wa Mama Suluhu Hasan unaweza kutazamwa kwa pande tatu na zote zikawa na miito tofauti. Kwanza Mama Samia anaweza kuamua kwamba anaongoza miaka mitano hii na hatagombea tena... Yaani kwake inatosha hii mitano kuweka alama kuu Tanzania akapewa heshima yakuitwa Mama wa Taifa kwa legacy atakayoiacha.
Legacy hiyo pamoja na kurudisha umoja wa Kitaifa, itakuwa ya mambo mawili tu muhimu ambayo ni Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, haya yanaweza kuwa legacy kwake mbele ya umma wa Watanzania na akajengewa minara kila pembe ya nchi na kutawazwa kama Mama wa Taifa. Kikwazo kwake ni CCM.
Pili Mama anaweza kuamua kwamba akakubalika ndani ya ccm na hata kuona naweza kuingia kwenye kinyang"anyiro 2025 akiamini dunia bado iko mikononi mwa ccm, Kwanadharia hiyo atalazimika kuendesha nchi kwa mkono uleule tuliko toka. Hapa atakumbana na kikwazo kwake ambacho ni wanamtandao ndani ya ccm na upande wa pili ni umma wa Watanzania ambao kwa namna moja ama nyingi ulishaikataa ccm na mambo yake yote.
Tatu Mama anaweza kuamua kuuthibitishia umma kwamba anaweza kuongoza nchi zaidi ya watu walivyokuwa wakimfikiria hasa wanaccm ambao kwa asili ni wahafidhina wasioamini kuongozwa na Mwanamke. Hapa anaweza kuongoza nchi kwa mkono wa chuma tukajikuta tunamkumbuka Marehemu Magufuli. Athari za chaguo hili la tatu ni yeye kuwa kwenye hatari kwani atarithi maadui na atatengeza maadui mwisho ukawa mgumu kwake 2025 ikiwa lengo ni kurudi tena.
Na Yericko Nyerere
https://www.facebook.com/
Sio kwa Bunge utopolo aliloaacha magufuli.Wanaosema Bashiru kaanguka wana akili ndogo sana.
Pale bungeni ndio ameenda kupata platform ya kumuinua na kuonekana kwa jamii. Siyo ukatibu mkuu kiongozi.
Kina Lema, Msigwa, Mbowe, Zito na wanasiasa wote mashuhuli unaowajua walijijenga kupitia ubunge.
Kakurwa pale ofisini kwa rais angeishia kutosikaka kabisa bora hata huku katibu mkuu ccm.
Kakurwa pale bungeni ndio mahala pake pakuoneshea yeye ni nani.
Watu wanaosema Bashiru ameanguka ni wale wenye chuki nae na ambao kwanza walitamani hata huo ubunge asiupate.
Kingine utaona ujinga mmoja kutoka kwa wapinzani ni kama vile sasa baada ya Bashiru kutolewa ukatibu mkuu kiongozi basi wao sasa siasa kwao ni mtelemko tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kakurwa Bashiru ni mtu mdogo sana uzuri ccm huwa haitegemei mtu mmoja bali huwa inasimama yenyewe kama taasisi kwa hiyo mjipange kwa 2025.
Lakini cha moto amekipata ma mataga wenzie.Ngojeni siku msikie bashiru kawa wazir
Ova
Ana mhula mmoja tu trust me brother, magiant wa ccm hawawezi kukubali kabisa.Unaishi zama zipi!?? Mama ndiyo Amiri Jeshi mkuu, ndiye mtu mwenye nguvu kuliko yeyote katika nchi hii. Anaweza kuifumua na kuifuma nchi atakavyo na hata hiyo CCM anaweza kuifanya apendavyo na asiwepo wa kumzuia. Katiba yetu imemfanya Rais kuwa mungu mtu so usitegemee upinzani wowote kwa Mama zaidi tegemea kuwaona hao unaodhani wanaweza kumkwamisha mama wakimsujudia ili mkono uende kinywani.
Tumuache Mama afanye kazi please, huu ni wakati wake.