Pre GE2025 Kwa uhasama uliopo ndani ya CHADEMA, ni wazi kura za maoni na uteuzi wa mgombea Urais wao 2025 zitawasambaratisha kabisa

Pre GE2025 Kwa uhasama uliopo ndani ya CHADEMA, ni wazi kura za maoni na uteuzi wa mgombea Urais wao 2025 zitawasambaratisha kabisa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Uadui na uhasama unaoendelea ndani ya CHADEMA hasa miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama hicho, ni hatari kwa afya na uhai wa wanaopigana vita ya maneno na chama chenyewe kwa ujumla.

Ukiwafuatilia vizuri, utangundua ni kama wanaviziana na kutegeana tu kwamba who is to break the line first before the other, ili mnyukano halisi uanze?

Wenye mipango mikakati na maono ya mbali kisiasa na dhidi ya chama chao, wameshaweka mitego ya kuitegua kwenye wakati sahihi, ambao ni kipindi cha kura za maoni na uteuzi.

Na hapo itakua ni zaidi ya earthquake, mtu mzima anakatwa na kuzimwa hadharani na vijana wa mjini kwa kigezo cha uanachama, utii na uzalendo wenye shaka kwa chama na taifa kwa ujumla, dah.

Nini maoni yako dhidi ya mgawanyiko na mpasuko wa wazi uanao jidhihirisha hadharani ndani ya chadeama?

Wanaojihisi hawahitajiki CHADEMA, waondoke sasa hivi kwenye chama hicho au wasubiri kuenguliwa kwa fedheha wakati wa kura za maoni na teuzi za udiwani, ubunge na urais ndani ya chama hicho? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Umesikia Warioba Leo mkuu?

Nakukumbusha tu Warioba ni Jaji mstaafu, Waziri mkuu mstaafu na Makamu wa pili wa Rais mstaafu...
 
Uadui na uhasama unaoendelea ndani ya CHADEMA hasa miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama hicho, ni hatari kwa afya na uhai wa wanaopigana vita ya maneno na chama chenyewe kwa ujumla.

Ukiwafuatilia vizuri, utangundua ni kama wanaviziana na kutegeana tu kwamba who is to break the line first before the other, ili mnyukano halisi uanze?

Wenye mipango mikakati na maono ya mbali kisiasa na dhidi ya chama chao, wameshaweka mitego ya kuitegua kwenye wakati sahihi, ambao ni kipindi cha kura za maoni na uteuzi.

Na hapo itakua ni zaidi ya earthquake, mtu mzima anakatwa na kuzimwa hadharani na vijana wa mjini kwa kigezo cha uanachama, utii na uzalendo wenye shaka kwa chama na taifa kwa ujumla, dah.

Nini maoni yako dhidi ya mgawanyiko na mpasuko wa wazi uanao jidhihirisha hadharani ndani ya chadeama?

Wanaojihisi hawahitajiki CHADEMA, waondoke sasa hivi kwenye chama hicho au wasubiri kuenguliwa kwa fedheha wakati wa kura za maoni na teuzi za udiwani, ubunge na urais ndani ya chama hicho? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Hujui hata maana ya assinment and evaluation kwenye project una puyanga tu. Kabla ya kuingelea chadema ambayo kimsingi huo ndiyo mwisho wako wa kufikiria . Msikilize judge warioba vizuri . Haya ya chadema na ccm tuyaache kwanza tulizungumzie taifa la kuuana na kutekana (Tanzania)
 
Una uhakika huko ccm kwenye kura za maoni watu watatoka salama?
Au na wewe unaamini fomu itakuwa moja?
 
Hujui hata maana ya assinment and evaluation kwenye project una puyanga tu. Kabla ya kuingelea chadema ambayo kimsingi huo ndiyo mwisho wako wa kufikiria . Msikilize judge warioba vizuri . Haya ya chadema na ccm tuyaache kwanza tulizungumzie taifa la kuuana na kutekana (Tanzania)
naona umeona mawenge tu gentleman dah :pedroP:

badala ya kijikita kwenye hoja mahususi na mahali sahihi, unambwelambwela kwa kutangatanga zigazaga, hujui nini useme au ueleze wap na kwa wakati gani:pedroP:
 
Una uhakika huko ccm kwenye kura za maoni watu watatoka salama?
Au na wewe unaamini fomu itakuwa moja?
gentleman,
mbona iko wazi wazi sana kwamba kura za maoni CCM, ndio uchguzi mkuu wenyewe,

halafu ule wa kushindanisha vyama vyote vya siasa ni katika kutimiza matakwa ya kisheria na kikatiba tu.

na ndiyo maana kura za maoni za CCM zina hamasa na mvuto zaidI ya uchaguzi mkuu wenyewe, kwasababu CCM ndiko serikali ya waTANZANIA inakoundwa :BASED:
 
Uadui na uhasama unaoendelea ndani ya CHADEMA hasa miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama hicho, ni hatari kwa afya na uhai wa wanaopigana vita ya maneno na chama chenyewe kwa ujumla.

Ukiwafuatilia vizuri, utangundua ni kama wanaviziana na kutegeana tu kwamba who is to break the line first before the other, ili mnyukano halisi uanze?

Wenye mipango mikakati na maono ya mbali kisiasa na dhidi ya chama chao, wameshaweka mitego ya kuitegua kwenye wakati sahihi, ambao ni kipindi cha kura za maoni na uteuzi.

Na hapo itakua ni zaidi ya earthquake, mtu mzima anakatwa na kuzimwa hadharani na vijana wa mjini kwa kigezo cha uanachama, utii na uzalendo wenye shaka kwa chama na taifa kwa ujumla, dah.

Nini maoni yako dhidi ya mgawanyiko na mpasuko wa wazi uanao jidhihirisha hadharani ndani ya chadeama?

Wanaojihisi hawahitajiki CHADEMA, waondoke sasa hivi kwenye chama hicho au wasubiri kuenguliwa kwa fedheha wakati wa kura za maoni na teuzi za udiwani, ubunge na urais ndani ya chama hicho? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Vipi kuhusu fomu moja ya Urais wa CCM?
 
gentleman,
mbona iko wazi wazi sana kwamba kura za maoni CCM, ndio uchguzi mkuu wenyewe,

halafu ule wa kushindanisha vyama vyote vya siasa ni katika kutimiza matakwa ya kisheria na kikatiba tu.

na ndiyo maana kura za maoni za CCM zina hamasa na mvuto zaidI ya uchaguzi mkuu wenyewe, kwasababu CCM ndiko serikali ya waTANZANIA inakoundwa :BASED:
Ni kweli kura za maoni pale Dodoma zina mvuto na hufwatiliwa sana....

Lakini uchunguzi unao husisha vyama vyote unapoteza mvuto kwasababu ya ubakwaji wa demokrasia unaofanywa na ccm, wananchi wamekata tamaa. Ukiwauliza kwanini hupigi kura wanasema " nipige kura ya nini wakati uchunguzi ni wizi mtupu"

Unakumbuka yule mwanamama mmoja aliyewahi kusema hata ukipiga kura upinzani zinahesabika ccm?
 
Umesikia Warioba Leo mkuu?

Nakukumbusha tu Warioba ni Jaji mstaafu, Waziri mkuu mstaafu na Makamu wa pili wa Rais mstaafu...
nadhani ni busara na inafaa zaid mzee akashauriwa apumzika tu, kuliko kujihangaisha na kujifedhehesha mara kwa mara,

wanaomtumia, wanamchosha na kumuhadaa mzee wa watu bure tu,

na maskini wa Mungu yeye hata haelewi...

Infact,
serikali iko kazini na inawatumikia waTanzania wote, hana haja wala sababu hata moja kuelekeza kipi kifanyweje.
Alikuepo uongozini kwa muda mrefu, na kama alikua na nia njema angerekebisha hayo yote anayolalamikia akiwa mamalakani, vinginevyo ana gubu tu :BASED:
 
Kuna mmoja alishawahi kupigwa gongo la kichwa
chadema ilishatamkwa wazi kwamba,
kujaribu kugombea nafasi fulani ya uongozi ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, dah!

na waliojaribu kufanya hivyo, maskini ya Mungu sasa hivi ni historia tu, hatunao :NoGodNo:
 
chadema ilishatamkwa wazi kwamba,
kujaribu kugombea nafasi fulani ya uongozi ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi, dah!

na waliojaribu kufanya hivyo, maskini ya Mungu sasa hivi ni historia tu, hatunao :NoGodNo:
Kuamini hivi ni sawa na kuamini kwamba kuingia na kura na kuzisokomeza kwenye masanduku ya kura ili zihesabiwe ni ushindi kwa ccm!
Yupo wapi makamu mwenyekiti wa ccm?
 
Hata hizi kura za maoni uchaguzi wa serikali za mitaa tumeona wakipasuana wenyewe
acha upotoshaji gentleman,
chadema waliopigana singida haikua kwasababu ya kura za maoni ni utaratibu tu ulikiukwa kidogo.

aise,
ila walizichapa kinoma :BASED:
 
Vipi kuhusu fomu moja ya Urais wa CCM?
Gentleman,
ni porojo na stori za patapotea za chadema huna haja ya kubabaika na kupata mawenge na uzushi wa wazi kama huo :NoGodNo:
 
Hujui hata maana ya assinment and evaluation kwenye project una puyanga tu. Kabla ya kuingelea chadema ambayo kimsingi huo ndiyo mwisho wako wa kufikiria . Msikilize judge warioba vizuri . Haya ya chadema na ccm tuyaache kwanza tulizungumzie taifa la kuuana na kutekana (Tanzania)
Warioba hana lolote yule mzee. Hata Bunda nyumbani kwao walimnyima ubunge akiwa ni Waziri Mkuu wakampa wa NCCR. Ana hasira kwa kuwa familia yake haijapewa ulaji serikalini. 🤣🤣
 
Ni kweli kura za maoni pale Dodoma zina mvuto na hufwatiliwa sana....

Lakini uchunguzi unao husisha vyama vyote unapoteza mvuto kwasababu ya ubakwaji wa demokrasia unaofanywa na ccm, wananchi wamekata tamaa. Ukiwauliza kwanini hupigi kura wanasema " nipige kura ya nini wakati uchunguzi ni wizi mtupu"

Unakumbuka yule mwanamama mmoja aliyewahi kusema hata ukipiga kura upinzani zinahesabika ccm?
gentleman,
wapinzani huwa hawana wagombea urais lakini pia hata wagombea udiwani na ubunge wao hua hawana uwezo wala ushawishi kwa wapiga kura,

wanachokifanya ni kusubiri watakaokatwa ccm ndipo wapewe nafasi upinzani.

mpiga kura gani wa Tanzania anaweza kuamka alfajiri akampigie kura kibaraka ambae familia yake yote iko ughaibuni? hakuna wa kufanya hivyo Tz.

hiyo ya kusema eti ukipiga kura upinzani inahesabika ccm ni dhana potofu isiyo na athari yoyote kisiasa. uchaguzi hauwezi kusimama kwasababu wewe unawaza kushindwa.

hiyo ndiyo demokrasia gentleman:BASED:
 
Kuamini hivi ni sawa na kuamini kwamba kuingia na kura na kuzisokomeza kwenye masanduku ya kura ili zihesabiwe ni ushindi kwa ccm!
Yupo wapi makamu mwenyekiti wa ccm?
gentleman,
kwa uhasama wa wazi baina ya viongozi waandamizi wa chadema unadhani wakati upi ni sahihi sana kwa wao kujiengua chadema au wasubiri kuenguliwa kwa fedheha wakatia wa kura za maoni na uteuzi?

Dr.Samia Suluhu Hassana ni mtu na nusu CCM anatosha uenyekiti na makamu mwenyekiti bara pekeyakke :BASED:
 
Back
Top Bottom