Pre GE2025 Kwa uhasama uliopo ndani ya CHADEMA, ni wazi kura za maoni na uteuzi wa mgombea Urais wao 2025 zitawasambaratisha kabisa

Pre GE2025 Kwa uhasama uliopo ndani ya CHADEMA, ni wazi kura za maoni na uteuzi wa mgombea Urais wao 2025 zitawasambaratisha kabisa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Warioba hana lolote yule mzee. Hata Bunda nyumbani kwao walimnyima ubunge akiwa ni Waziri Mkuu wakampa wa NCCR. Ana hasira kwa kuwa familia yake haijapewa ulaji serikalini. 🤣🤣
gentlemn,
mbona unasema ukweli mtupu aise?:pedroP:

ukweli mchungu na unauma kichizi:pedroP:
 
  • Nzuri
Reactions: UCD
Kumbe na wewe unakubali kuwa Mama anaenda kumwachia mwingine yete anapumzika?
Yes ofcouse gentleman,
Dr.Samia Suluhu hassan, kipenzi cha waTanzania atapumzika na kumuachia mwana CCM mwingine aiongoze Tanzanaia kuanzia mapema 2035:pulpTRAVOLTA:
 
Yes ofcouse gentleman,
Dr.Samia Suluhu hassan, kipenzi cha waTanzania atapumzika na kumuachia mwana CCM mwingine aiongoze Tanzanaia kuanzia mapema 2035:pulpTRAVOLTA:
Anapumzika 2025 na kumuachia mwa CCM mwingine, yeye anaenda kupumzika baada ya kufanya vizuri akimalizia kipindi cha mtangulizi wake.
 
Anapumzika 2025 na kumuachia mwa CCM mwingine, yeye anaenda kupumzika baada ya kufanya vizuri akimalizia kipindi cha mtangulizi wake.
relax tu gentleman,
huna haja ya kubabaika sana na hilo la CCM chini ya kipenzi and wanananchi wote, kuongoza dola ya Tanzania kwa muda wote ujao, mbona iko wazi sana 🐒
 
Back
Top Bottom