Kwa Ujanja Ujanja huu Simba Mnajiharibia

Kwa Ujanja Ujanja huu Simba Mnajiharibia

"Tujiulize Mtibwa wangekua kamili na balance ya mchezo ingekua sawa simba angeshinda mchezo?" - Mleta uzi alisikika
View attachment 2403195
Pichani: Mleta uzi alipokutana na mwandishi wetu mwandamizi.

Usisahau kutoa comments na kulike kama umefurahishwa na habari hii, ahsanteni.
Hamjielewi nyie,si juzi tu hapa mmelia mgunda awaachie timu yenu?siku mbili tu mmenunua game mmesahau,wacha tuwaone makundi mara hii

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada hana hamu na haya mashambulizi kaikacha thread yake
Kwi kwikwi
Nilikua safarini no escape no surrender,lazima ukweli simba waambiwe japo unauma
Wamezidiwa na azam kwa idara zote na walikuwa wafe 3 au 4 na wao wanajua
Leo hii ubora wa timu ndani ya siku 3 wameutoa wapi kama si figisu?
Na tutawaona makundi safari hii

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nilikua safarini no escape no surrender,lazima ukweli simba waambiwe japo unauma
Wamezidiwa na azam kwa idara zote na walikuwa wafe 3 au 4 na wao wanajua
Leo hii ubora wa timu ndani ya siku 3 wameutoa wapi kama si figisu?
Na tutawaona makundi safari hii

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yani braza mishipa inakutoka kabisa na maneno kibao kwasababu ya zile goli tano!!yani unajitoa akili kabisa na kuandika li makala lireefu kwa chuki tu.

Ligi unaongoza wewe makasiriko ya nini,sio kila kitu mkifanye kwa ushabiki Kuna tatizo gani kwenye zile kadi zajana !

Kuna wakati inabidi tuzungumzie football na sio unazi .
 
JamiiForums-1696028063.gif
 
....Tujiulize Mtibwa wangekua kamili na balance ya mchezo ingekua sawa simba angeshinda mchezo?
Mtu mwenye akili zake angejiuliza, Je, ni kwa nini hawakuwa kamili? Walizuiwa na Simba kuwa kamli? Walizuiwa na TFF kuwa kamili? Sasa kwa nini hwakuwa kamili? Red card na penalty halali ni matokeo ya presha ya mashambulizi. Zaidi ya hapo utahitaji maarifa mengine ya darasani nje ya mpira
 
Goli moja la Dube lili make sense kuliko magoli matano yaliyokosa ufundi wala hamasa...

Hakuna kitu kitakupa raha ktk mchezo kama game challenge..
Unacheza eleven against 9 halafu unashinda goli tano mnaruka na kushangilia!

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nadhani unacho kiandika haba ni ushabiki, Je kadi hizo zilikuwa halali au uonevu, mambo ya Azam yametoka wapi? Tushabikie mpira tuache malumbano, ndio maana nasema hivi hata sakho alitakiwa kad nyekundu!
 
Yaani umeandika kama vile ni wewe pekee uliangalia game ya simba sc vs Mtibwa,sisi wengine hatukutazama kabisa.
 
Yani braza mishipa inakutoka kabisa na maneno kibao kwasababu ya zile goli tano!!yani unajitoa akili kabisa na kuandika li makala lireefu kwa chuki tu.

Ligi unaongoza wewe makasiriko ya nini,sio kila kitu mkifanye kwa ushabiki Kuna tatizo gani kwenye zile kadi zajana !

Kuna wakati inabidi tuzungumzie football na sio unazi .
Kama ni shabiki wa utopolo hapo utapiga kelele mpaka uchoke yaani hawezi elewa maana yeye sio kati ya wale wawili.


Mtu anajaribu kuzungmzia et walikuwa 9, kwamba haitakiwi kabisa watu kupewa kadi nyekundu hata kama mtu atavunjwa kiuno. Wajinga wahivi ni usiongelee football, either mpotezee au muongelee kishabiki kama yeye hapo inakuwa safi.
 
Azam alishinda goli moja bila dhidi ya simba ni katika mchezo mzuri wa kuvutia ambapo timu zote mbili kila moja zilionyesha uwezo na thamani halisi ya usajili wao mechi iliotuacha tukizitathhmini timu kiuwezo nakimkakati.

Ikafuata mechi ya yanga na geita yanga alishinda kwa goli la penati,japo goli lile lilizua sintofahamu baada ya refa kutoa penati ili hali mchezaji yule aliunawa nje kidogo ya box.
Yanga akaibuka mshindi.

Nakuja kwenye point
Matokeo ya Mechi ya Azam na Simba na Matokeo ya Yanga na Geita yakamchanganya sana simba,hivyo wakaapizana kuwa mechi yao na mtibwa watashinda kivyovyote vile!baadhi ya washabiki wa simba walisikika kujiapiza hadi siku ya mchezo asubuhi ya jumamosi!

Unajiuliza Simba mnajitambua kweli?kwanini mnapenda sana msaidiwe na juhudi za nje ya uwanja kuliko kucheza mpira?

Jmamosi asubuhi ktk vijiwe kadhaa tuliongea na kutabiri simba kupewa penati au kadi nyekundu,na kweli yakatokea maajabu.!

Simba wanajiharibia sana katika kukwepa kutafuta changamoto zao na badala yake wanajipangia wapate point tatu kwa njia za pembeni.

Tujiulize Mtibwa wangekua kamili na balance ya mchezo ingekua sawa simba angeshinda mchezo?tukumbuke baada ya mchezaji wa kwanza wa mtibwa kupewa kadi mtibwa waliendelea kulisakama lango la simba kana kwamba wametimia.

Wachezaji simba wakawa wakigusana na waxhezaji wa mtibwa physical contact wanajibingirisha wee na kupiga kelele za maumivu ati wameumizwa vibaya!...mbinu zile ni woga mtupu na kushindwa kupambana na changamoto!

Simba chezeni mpira,fanyeni usajili wa kueleweka kama Singida,Azam,Yanga...mtafanikiwa lakini ujanja ujanja huu hamtajenga!mnakwenda makundi hiyo michongo haitowavusha.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Yakiambiwa ukweli, yanatukana! Yakifungwa, yanalalamika!!
 
boss ivi kweli zile kadi hazikustahili..... je penati ya yanga ilikua sahihi???? sio kwa ubaya lakini huu ni ushabiki maanda.
Unajiuliza Simba mnajitambua kweli?kwanini mnapenda sana msaidiwe na juhudi za nje ya uwanja kuliko kucheza mpira?
 
Nilikua safarini no escape no surrender,lazima ukweli simba waambiwe japo unauma
Wamezidiwa na azam kwa idara zote na walikuwa wafe 3 au 4 na wao wanajua
Leo hii ubora wa timu ndani ya siku 3 wameutoa wapi kama si figisu?
Na tutawaona makundi safari hii

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hujitambui
 
Back
Top Bottom