#COVID19 Kwa ujazo huu wa Daladala, tutashinda vita dhidi COVID-19?

#COVID19 Kwa ujazo huu wa Daladala, tutashinda vita dhidi COVID-19?

uncle

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2007
Posts
325
Reaction score
184
Leo kuna tukio nimeshuhudia ndani ya daladala asubuhi, tukio ambalo limenipa tafakari ya kujiuliza kweli hii vita dhidi ya COVID-19 tutaishinda kweli; tuko makini sisi kama wananchi na mamlaka kwa ujumla.

Ni hivi daladala limejaa, abiria Wameshona lakini makonda bado wanataka lipakie abiria. Hapo kweli kuna tahadhari ya hili gonjwa?

Na abiria pasi na uoga bado nao wanataka kupanda basi Hilo lilojaa

Na kwa mamlaka mmetangaza 'level seats' lakini hamna hatua za utekelezaji ni kama hali ni shwari

Je, tutashinda hii vita?
 
Wakati huohuo mkiwa mnavaa barakoa na sanitizer na kuchoma chanjo kile kirusi chenu kimebadilika kutoka Delta na kuwa lambda!

Hivyo waliochoma J&J wanatakiwa wachome nyengine za kuboosti ili kipambane na huyo lambda! Sijui akitoka huyo lambda atakuja nani😅
 
Wakati huohuo mkiwa mnavaa barakoa na sanitizer na kuchoma chanjo kile kirusi chenu kimebadilika kutoka Delta na kuwa lambda!! Hivyo waliochoma j&j wanatakiwa wachome nyengine za kuboosti ili kipambane na huyo lambda!. Sijui akitoka huyo lambda atakuja nani..[emoji28]
Kirusi chao!!! Safi sana
 
Back
Top Bottom