Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Wacha ashupaze Shingo hawajui polisi wa BongoPolisi watakula hela yako na huyo jamaa utamfunga Ila hautopata pesa ambayo imeliwa na polisi kwakuwa mtuhumiwa hana ndugu wa kumuokoa
Jaribu kutumia busara kumsamehe na uache karma ifanye Kazi .
Huu mji sio wa kuonea mtu huruma..ni kujifunza tu roho mbaya hata kama hukuwahi kua nayo.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Huko tulishatokaYaani mtu tayari alishakula nauli, bado ukamuacha aje na zaidi ukamkabidhi PESA mkononi na simu zenye pesa! Tena ndani ya siku mbili, tena bula kuandikishana wala kuchukua tahadhari yoyote! Nadhani na wewe utakuwa na matatizo pahala
Nyie acheni usenge.Wacha ashupaze Shingo hawajui polisi wa Bongo
Mimi nataka afungwe staki pesaPolisi watakula hela yako na huyo jamaa utamfunga Ila hautopata pesa ambayo imeliwa na polisi kwakuwa mtuhumiwa hana ndugu wa kumuokoa
Jaribu kutumia busara kumsamehe na uache karma ifanye Kazi .
Lini hiyo?Mimi nilikuwa natafuta gari ya mkononi Kuna mtu akaja inbox na picha za gari,nikamwambia njoo nayo dar ili tuingalie then tufanye MALIPO ,baadaye akasema gari Haina mafuta ya kutosha kwahyo nitume ela ya mafuta ili aanze safari usiku , tokea nitume Ile ela sijaona gari Wala simu kupatikana Mpka muda huu.
Mkuu, uungwana ndiyo umekuponza.....unamuaminije kijana uliyemuona tu mtandaoni?Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Msenge mwenyewe uliyetapeliwa kifala, huyo dogo angekaza angekutia usenge vilevileNyie acheni usenge.
Ndo nimemkamata namtia usenge sasa.unasemajeMsenge mwenyewe uliyetapeliwa kifala, huyo dogo angekaza angekutia usenge vilevile
Mpuuzi mama yako,na mdogo wako karejeshwa rumande aendelee kunyea debeWewe ni mpuuzi.
Wewe ulitakaje?Alikuwa anamtumia as a cheap labor, Muulize alikuwa anamlipa kiasi gani? Cheap is always expensive!
Staki pesa nataka anyee debeWacha ashupaze Shingo hawajui polisi wa Bongo
Mkuu pole sana.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
π²π²π²Kuna mwingine sijui ni jana au juzi kaleta uzi kuwa member mwenzetu fulani amefariki msiba uko sehemu fulani.
Baadae watu wanatoa pole si moderator wakagundua marehemu na aliyeleta habari ni mtu mmoja ikabidi waunganishe zile I'd πππ
Sema na wewe unazingua, yani unambeba mtu humu mitandaoni humjui vizuri unaenda kumweka kwenye miamala?
π€£ π€£ π€£Mkuu soma ule uzi unaitwa
"NATAFUTA MGANGA KONKI "
ILi iwe fundisho kwa uyo kijana na ajue dunia sio ya kuchezea kirahisi ivyo
Itakua dogo alimtafuna mkeo kabla hajakuliza we mshamba. Utachapiwa sana na utatapeliwa sana Boya weweStaki pesa nataka anyee debe
Safi sana mkuu matapeli sio viumbe vya kuvichekeaAlipanga akaibe kwingine,mchongo ukapangwa kwamba akachukue nauli sehemu,hiyo sehemu ilkkuwa ya mchongo.Alipofika tu akatiwa nguvuni na sisi ndo tukatokea.KIPONDO CHA KUTOSHA NA KUFIKISHWA KITUONI.