Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Polisi watakula hela yako na huyo jamaa utamfunga Ila hautopata pesa ambayo imeliwa na polisi kwakuwa mtuhumiwa hana ndugu wa kumuokoa

Jaribu kutumia busara kumsamehe na uache karma ifanye Kazi .
Wacha ashupaze Shingo hawajui polisi wa Bongo
 
Mimi nilikuwa natafuta gari ya mkononi Kuna mtu akaja inbox na picha za gari,nikamwambia njoo nayo dar ili tuingalie then tufanye MALIPO ,baadaye akasema gari Haina mafuta ya kutosha kwahyo nitume ela ya mafuta ili aanze safari usiku , tokea nitume Ile ela sijaona gari Wala simu kupatikana Mpka muda huu.
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Huu mji sio wa kuonea mtu huruma..ni kujifunza tu roho mbaya hata kama hukuwahi kua nayo.
 
Yaani mtu tayari alishakula nauli, bado ukamuacha aje na zaidi ukamkabidhi PESA mkononi na simu zenye pesa! Tena ndani ya siku mbili, tena bula kuandikishana wala kuchukua tahadhari yoyote! Nadhani na wewe utakuwa na matatizo pahala
Huko tulishatoka
 
Mimi nilikuwa natafuta gari ya mkononi Kuna mtu akaja inbox na picha za gari,nikamwambia njoo nayo dar ili tuingalie then tufanye MALIPO ,baadaye akasema gari Haina mafuta ya kutosha kwahyo nitume ela ya mafuta ili aanze safari usiku , tokea nitume Ile ela sijaona gari Wala simu kupatikana Mpka muda huu.
Lini hiyo?
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Mkuu, uungwana ndiyo umekuponza.....unamuaminije kijana uliyemuona tu mtandaoni?
 
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Mkuu pole sana.
 
Kuna mwingine sijui ni jana au juzi kaleta uzi kuwa member mwenzetu fulani amefariki msiba uko sehemu fulani.
Baadae watu wanatoa pole si moderator wakagundua marehemu na aliyeleta habari ni mtu mmoja ikabidi waunganishe zile I'd 😂😂😂

Sema na wewe unazingua, yani unambeba mtu humu mitandaoni humjui vizuri unaenda kumweka kwenye miamala?
😲😲😲
 
Alipanga akaibe kwingine,mchongo ukapangwa kwamba akachukue nauli sehemu,hiyo sehemu ilkkuwa ya mchongo.Alipofika tu akatiwa nguvuni na sisi ndo tukatokea.KIPONDO CHA KUTOSHA NA KUFIKISHWA KITUONI.
Safi sana mkuu matapeli sio viumbe vya kuvichekea
 
Back
Top Bottom