balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
- Thread starter
-
- #301
Peace a k a Aman Ibrahim Kaniki ametupwa jela Leo.Staki pesa nataka anyee debe
Kahukumiwa miezi sita na akitoka alipeSafi sana mkuu matapeli sio viumbe vya kuvichekea
we we msengerema huna akili.Kamtoe Segerea **** mwenzioItakua dogo alimtafuna mkeo kabla hajakuliza we mshamba. Utachapiwa sana na utatapeliwa sana Boya wewe
Amenyea debe lupango mwezi mzima na Leo kafungwa rasmi miez sitaMkuu pole sana.
Safi kabisa ,wa mawe ,kigende kyege kwanza okwoPeace Ibrahim Kaniki huyo hapo.
Duh aisee pole sana mkuuKuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
πππππkuna hadi hamas humu
ego wa tata,kilekere obushumaSafi kabisa ,wa mawe ,kigende kyege kwanza okwo
hao ni kenge tu wanamtetea kibaka mwenzaoNaona vibaka humu wanamtukana mtoa post
Eli Cohen Yani jamiiforum Kuna Hamas umenichekesha mwamba sana Yani.Hakika kaka wewe ndio mwenye kosa
Hakika nakuambia ndugu,
Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu, kuna hadi hamas humu
HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Alikutafunia mke nakukuibia juu na akitoka jera anakufukua na wewe, hongera kwa kuwaongo maaskari jito lako la tatuwe we msengerema huna akili.Kamtoe Segerea **** mwenzio
Marusi kaanza mwenye huyo boya na hasira zake za kutafuniwa mke na kuibiwaNaona vibaka humu wanamtukana mtoa post