Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

Attachments

  • IMG_20250203_101859.jpg
    IMG_20250203_101859.jpg
    501.4 KB · Views: 1
  • IMG_20250203_101904.jpg
    IMG_20250203_101904.jpg
    490 KB · Views: 1
Peace Ibrahim Kaniki huyo hapo.
 

Attachments

  • IMG_20250203_101904.jpg
    IMG_20250203_101904.jpg
    490 KB · Views: 1
  • IMG_20250203_101859.jpg
    IMG_20250203_101859.jpg
    501.4 KB · Views: 1
Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.

Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.

Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.

Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.

Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Duh aisee pole sana mkuu
Hawa ndio wanafanya wenye uhitaji wakusaidiwa wasipate msaada
 
Hakika kaka wewe ndio mwenye kosa

Hakika nakuambia ndugu,

Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu, kuna hadi hamas humu

HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Eli Cohen Yani jamiiforum Kuna Hamas umenichekesha mwamba sana Yani.
 
Back
Top Bottom