Mwenyewe nautafuta hapa sioni hata zile notification hazipo tena kwangu sijui mod wameuficha wapiAf ule uzi sioni tena wa msiba
Ni swala la muda tu kiongozi niamini mimi. Na hivi picha yake ipo humu ni swala la muda tu. balibabambonahi ungeweka RB namba hapa pamoja na jina kamili la huyu jamaa ili akionekana pahali mtu aweze kutoa taarifa kwa kuitaja na hiyo RB namba yako.Tatizo atakamatwa akiwa hana kitu au kama ni mwerevu huwezi kumpata
Duh acha tuMwenyewe nautafuta hapa sioni hata zile notification hazipo tena kwangu sijui mod wameuficha wapi
bila shaka kopi ya kitambulisho cha nida unayo? mfuatilie mfundishe abadu siku hizi watu hawaibi kiboya ivoo!?Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
Wakati natafuta kazi nilikutana sana na hii changamoto ya kutoaminika. Vijana tunalilia sana connection lakini kiukweli hatuaminiki.Kuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
RB nitaiweka.Anatokea Arusha.Ni swala la muda tu kiongozi niamini mimi. Na hivi picha yake ipo humu ni swala la muda tu. balibabambonahi ungeweka RB namba hapa pamoja na jina kamili la huyu jamaa ili akionekana pahali mtu aweze kutoa taarifa kwa kuitaja na hiyo RB namba yako.
Pia kama alikuambia mkoa anaotokea au hata stori yoyote ya alipotokea au inayomhusu ziweke hapa kwa kutengeneza profile yake hii itasaidia zaidi maana pengine humu utakutana na waliosoma naye walioishi mtaa mmoja na hata ndugu zake pia. Dunia ni ndogo sana hii. Weka hadi namba za.simu alizokuwa akitumia.
Kamilosha taarifa zote.kumuhusu usiweke nusu nusu kama ulivyoweka hapa.
picha IPO kwenye Uzi,RB nitaiwekaPicha ikwapi?
Iwekeni tumjue tapeli na mtoa mada weka RB yake hapa
sawa Mkuu, sasa weka taarifa vizuri labda nikusaidie kukupa format hapa chini:-RB nitaiweka.Anatokea Arusha.
HahahaHao wanaonekana kama mchele mchele ndiyo huwa hatari zaidi kwenye uhalifu!!
Moyo wa upendo umemghalim, ukweli hum wamejaa hao uliowaorodhesha hapo juu.. Kuna kipindi niliweka Uzi kuomba ufafanuzi namna bonus account ya nmb inavyofanya kazi nikidepost mil 15.Hakika kaka wewe ndio mwenye kosa
Hakika nakuambia ndugu,
Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu,
HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??