macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Fools always thinks ''calling names'' make them look geniusNiliingia ma we e yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fools always thinks ''calling names'' make them look geniusNiliingia ma we e yako
Kwahiyo amuache aje kuibia wengine si ndiyoHongera sana ila nakushauri Kama Mali zako umezipata huyo Kijana muachie asimpeleke gerezani
Lilikuwa lengo lako umpeleke selo au akufanyie kazi yako? Kama unaajiri mtu kwa nia ya kumtega bado wewe ni mpumbavuWewe ndo pumbavu.Nilimtega akaingia say hiz yuko sero slender Bridge.
Apelekwe ajifunze ili aache wiziKwahiyo amuache aje kuibia wengine si ndiyo
Shida Sio kumtega aliletwa apige kazi kama ni ameiba n mwizi kama wezi wengine tu na wanao ludisha nyuma maendeleo ya watu wacha kutetea ujinga mkuuLilikuwa lengo lako umpeleke selo au akufanyie kazi yako? Kama unaajiri mtu kwa nia ya kumtega bado wewe ni mpumbavu
Alikosea kuniibia.Na bad yuko seloLilikuwa lengo lako umpeleke selo au akufanyie kazi yako? Kama unaajiri mtu kwa nia ya kumtega bado wewe ni mpumbavu
Bad yuko seloKesi imeendaje?
Wewe ni chizi na huu ni mwezi mchangaYaani laki saba ndo inakufanya unamsaka mtu humu JF😁😁😁
Tafuta hela bwana!!!Tafuta hela!!!
Hela kidogo hivi unasumbua na thiredi nyiingi vipi bwana wewe ebu tafuta hela!!!
Wewe ni mpuuzi.Alikosea kuniibia.Na bad yuko selo
Daah 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Alikosea kuniibia.Na bad yuko selo
Mpuuzi ni Babako aliyeshindwa kutumia kondomuWewe ni mpuuzi.
KamtoeDaah 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Fools always thinks? How many are they?Fools always thinks ''calling names'' make them look genius
Mpumbavu ni wewe unayezuga kutafuta kazi ili ukaibeLilikuwa lengo lako umpeleke selo au akufanyie kazi yako? Kama unaajiri mtu kwa nia ya kumtega bado wewe ni mpumbavu
Kumbe ww bado ulikuwa unawaamini jamanKuna huyu kijana alipost anatafuta kazi, nikamtafuta akadai ana nauli pungufu.
Tukakubaliana nimtumie nusu nauli. Nilimtumia lakini siku ya kuja akawa amezima simu na kufuta picha aizonitumia watsaup. Nilikomenti jinsi alvyofanya baadaye akanitafuta akidai alivamiwa na vibaka wakampora kila kitu.
Akaniahidi atakuja, kweli akaja Dar Es Salaam hadi nyumbani, nikamuonesha maeneo ya kazi zangu. Nikawa nafanya naye huduma ya wakala wa miamala ya pesa.
Ikabidi awe anawahi kufungua maana alikuwa anakaa karibu. Asubuhi ya Leo kachukua laki sita, simu mbili na line NNE na ametoa pesa zote kakimbia. Pale getto alipokuwa anakaa vijana wenzake kawaibia nao pesa zao.
Ripoti nimetoa kituo cha polisi Sealander bridge na RB ninayo.
A fool once danced in rain and sun,Fools always thinks? How many are they?
Leo yuko kwa pilatoKumbe ww bado ulikuwa unawaamini jaman