Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Red flags aliziona tangu mwanzo, amini hisia zako za mwanzo kabisa.Hakika kaka wewe ndio mwenye kosa
Hakika nakuambia ndugu,
Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu,
HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Leo anaanza Maisha yake rasmi,SegereaRed flags aliziona tangu mwanzo, amini hisia zako za mwanzo kabisa.
Kahukumiwa muda gani?Leo anaanza Maisha yake rasmi,Segerea
KUna mafre manson humu kuna washenzi humu kuna makenge humu , kuna wauwaji humu yaani humu kuna maariooo hadi kerooo wanafanya kazi ila wanaomba wanawake pesa hatarii kaa chonjo na evarediHakika kaka wewe ndio mwenye kosa
Hakika nakuambia ndugu,
Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu,
HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Hilo swali ni invalid kwa sasa.Uliza nilimdaka vipi? Yuko wapi kwa sasa?Mkuu; uliwezaje kumuamini mtu ghafla hivo? Tena kwenye biashara ya fedha? Humjui, hakujui na dalili alianza kukuonesha mapema sana na still ulimwamini? Pole kaka.
Bado hajahukumiwa bali baada ya kukosa dhamana ndo amerudishwa remande Segerea.Kesi hadi tarehe 11 FebruaryKahukumiwa muda gani?
Hana ndugu waliojitokeza?Bado hajahukumiwa bali baada ya kukosa dhamana ndo amerudishwa remande Segerea.Kesi hadi tarehe 11 February
Hakika kaka wewe ndio mwenye kosa
Hakika nakuambia ndugu,
Kuna matapeli humu, kuna makahaba humu, kuna vibaka humu,
HOW COULD YOU JUST TRUST SOMEONE SO EASILY??
Hana mtu hata mmoja anadai ndugu zake wako ArushaHana ndugu waliojitokeza?
Aya kaka twambie alidakwaje uyo mshenzi asiye na fadhilaHilo swali ni invalid kwa sasa.Uliza nilimdaka vipi? Yuko wapi kwa sasa?
Tupe majibu mkuu; na kama ulimkamata hongera sana, but bado ni muhimu kua makini, how mtu humjui, mmejuana recently tena mtandaoni halafu ukamwamini haraka hivo na kumuweka kua msimamizi wa fedha? InterestingHilo swali ni invalid kwa sasa.Uliza nilimdaka vipi? Yuko wapi kwa sasa?
Hapo kubali tu hasara, chukua tu hivyo ulivyomkuta navyo, usikute hata kwao walishamnawaHana mtu hata mmoja anadai ndugu zake wako Arusha
Lazima afungweHapo kubali tu hasara, chukua tu hivyo ulivyomkuta navyo, usikute hata kwao walishamnawa
Alipanga akaibe kwingine,mchongo ukapangwa kwamba akachukue nauli sehemu,hiyo sehemu ilkkuwa ya mchongo.Alipofika tu akatiwa nguvuni na sisi ndo tukatokea.KIPONDO CHA KUTOSHA NA KUFIKISHWA KITUONI.Aya kaka twambie alidakwaje uyo mshenzi asiye na fadhila
Polisi watakula hela yako na huyo jamaa utamfunga Ila hautopata pesa ambayo imeliwa na polisi kwakuwa mtuhumiwa hana ndugu wa kumuokoaAlipanga akaibe kwingine,mchongo ukapangwa kwamba akachukue nauli sehemu,hiyo sehemu ilkkuwa ya mchongo.Alipofika tu akatiwa nguvuni na sisi ndo tukatokea.KIPONDO CHA KUTOSHA NA KUFIKISHWA KITUONI.
Utapoteza Muda na Pesa chukua kilichopo huyu hana kitu, na hivyo vitu ukiacha polisi waendelee kuvishikiria unaweza ukavipoteza/usivipate au ukatoa pesa tena hili kuvipataLazima afungwe