Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,441
Funga Kazi ilikuwa balaa ilikuwa ina bang sana kuanzia kibo mpaka oldonyo majita walikuwa wanaazima sana ile Tape.
Sawa sawa mmenye , Kulikuwa na Radio Cassette kwenye Cubic ya pili kutoka mwisho mkono wa kushoto Kibo A-Hatari tupu . Enzi zile mbabe alikuwa Chief( R.I.P) na Mgaya ( R.I.P).