M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Kwa ukwasi alio nao Mboe. Sioni wa kumnyima kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana ukwasi upi na wa kiasi gani?Chanzo?Naamini unajua hadi ya sirini kwa Mbowe:Je,amepanga kuwahonga bei gani kwa kila mmoja?Kwa ukwasi alio nao Mboe. Sioni wa kumnyima kura
Kwanza Mboe ni nani? hata hivyo, Kwahiyo amewahonga? ushahidi?Kwa ukwasi alio nao Mboe. Sioni wa kumnyima kura
Mboe , MboweKwa ukwasi alio nao Mboe. Sioni wa kumnyima kura
Tayari wa set agenda items za habari wameishabadili upepo!! Tuko kwa Kabe na upuuzi wake!!!Kwa ukwasi alio nao Mboe. Sioni wa kumnyima kura
Kura zote kwa Mwenyekiti lissu
Usikute wewe sio mwanachama wa CHADEMA ila ni uchawa tu.Kura zote kwa Mwenyekiti
Kwa mambo ya Mbowe, HAUPITWI!Unaelewa maana ya ukwasi lakini
Ruzuku siyo ukwasi [emoji23][emoji23]
Kwa ukwasi alio nao Mboe. Sioni wa kumnyima kura
Ukwasi Gani? Ana kiasi Gani? Kwa nini miaka 20+ anang'ang'ania kuwa mwenyekiti? Kama kipimo Cha uongozi ni Hela tumuombe baharesa akagombee uwenyekiti
Unaelewa maana ya ukwasi lakini
Ruzuku siyo ukwasi 😂😂
Njaa mbayaKura 1199 kati ya 1200 kwa mbowe - moja itaharibika na mnajua ni ya nani.