Kwa ulichomfanyia mdogo wangu, tutakutafuta tu ewe mwanamke

Kuna watu mnahisi JF ni ya kuchewa tu. We unakaa kufikiri kutunga kitu ukilete hapa ndio ujanja. Hakuna mtu anaweza kufanya uchafu huo,ila wewe mleta Uzi huu uongo unaweza kufanya kituko hiki,ksbb tayari umekiwaza
 
Dogo wako alikua anadate na tembo? maana hicho kinyesi cha kunya kwenye mabegi, kuapakaza kitanda kizima, kupakaza mlangoni na kunya kwenye jaba la maji si mchezo sheikh...
 
Dogo wako alikua anadate na tembo? maana hicho kinyesi cha kunya kwenye mabegi, kuapakaza kitanda kizima, kupakaza mlangoni na kunya kwenye jaba la maji si mchezo sheikh...

Majirani wanasema alivuta bangi
 
Kuna watu mnahisi JF ni ya kuchewa tu. We unakaa kufikiri kutunga kitu ukilete hapa ndio ujanja. Hakuna mtu anaweza kufanya uchafu huo,ila wewe mleta Uzi huu uongo unaweza kufanya kituko hiki,ksbb tayari umekiwaza

Mpaka yakukute ndiyo unyumbu utakutoka kichwani
 
Dah
 
Haha
 
Kama ulikula ugali aliowapikia basi ushakula Kimba mtu wangu wa nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…