Mteghanyi Kighobo
Member
- Jan 30, 2016
- 55
- 40
mwenyeji ndio hupewa kipaumbele, yeye alikuwa na jezi nyeusi ambayo yanga ndio alikusudia kuitumiaNi sheria gani hiyo shirika la mpira inalazimisha timu kuvaa/kutokuvaa jezi fulani, em nipe sababu ya msingi ya TFF kuwaambia Yanga wasivae jezi flani.!
Huyu ni chizi tumvumilie tuWakati huo huo, uliandika hivi:
Hata wachungaji huwa hawaachi kumtaja na kumfuatilia shetaniUnayempuuza unaweza 24/7 ukawa Unamfuatilia na mpaka Kumsoma hapa JamiiForums?
Tulia mwananchi, hizo kanuni ziliwekwa na vilabu kupitia bodi yake, na ndani yake kuna wajumbe kutoka kila klabu ikiwemo Yanga. kwa hiyo nendeni mkamkabe mjumbe wenu mumuulize kwa nini alipitisha kanuni inayowalazimisha Yanga wasivae jezi nyeusi kila mechi?Ni sheria gani hiyo shirika la mpira inalazimisha timu kuvaa/kutokuvaa jezi fulani, em nipe sababu ya msingi ya TFF kuwaambia Yanga wasivae jezi flani.!
Ningekuwa Mpotoshaji ningekuwa Tajiri wa Followers hapa tena walio Great Thinkers wapatao 127 sasa na siyo Mpumbavu Mwandamizi Mmoja Wewe?Naanzaje kukuacha uendelee kupotosha na kuaminisha watu ujinga?
Chizi kumzidi Mama yako Aliyekuzaa?Huyu ni chizi tumvumilie tu
Mtazidi kushushiwa vipondo mpaka mseme ule mwiko kule nyuma una kazi ganiSisi bado ni bora,tunaongoza ligina tutazidi kushusha vipondo
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Labda wewe ndio mama yanguChizi kumzidi Mama yako Aliyekuzaa?
Nakukubali sana Jasusi Gentamycine.Kwa Kawaida Makomandoo wa Yanga SC na hasa Mganga wao Hatari hupenda Kutangulia (Kuwahi) Mkoa ambao Yanga SC inacheza kisha wanaanza Kuufanyia Umafia na Uchawi (Ndumba) Uwanja ambao Utachezewa.
Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%
Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.
Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.
Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.
Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.
Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.
Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.
Cc: Fundi mahiri wa ujenzi
Umeandika kama vile unawasimulia watoto zako ambao hawatumii akili kufikiria.Kwa Kawaida Makomandoo wa Yanga SC na hasa Mganga wao Hatari hupenda Kutangulia (Kuwahi) Mkoa ambao Yanga SC inacheza kisha wanaanza Kuufanyia Umafia na Uchawi (Ndumba) Uwanja ambao Utachezewa.
Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%
Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.
Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.
Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.
Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.
Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.
Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.
Cc: Fundi mahiri wa ujenzi
Njoo ukalie ndonga yanguNina allergy ya kujibu Maswali ya Kipumbavu yatokayo kwa Mpumbavu Mwandamizi.
Mzee wa kutunga stori (mzee wa propaganda) siku hizi mchezo wa mpira umekuwa watu wakiamka wanajiamulia tu. Endelea kudanganya wehu wenzioKwa Kawaida Makomandoo wa Yanga SC na hasa Mganga wao Hatari hupenda Kutangulia (Kuwahi) Mkoa ambao Yanga SC inacheza kisha wanaanza Kuufanyia Umafia na Uchawi (Ndumba) Uwanja ambao Utachezewa.
Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%
Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.
Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.
Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.
Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.
Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.
Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.
Cc: Fundi mahiri wa ujenzi
swali, kwanini hamjavaa jezi zenu hizo nyeusi vs ihefu???Unamsikiliza huyo jamaa kweli? Ni muongo, mbeya na mfitini sana. Amejaa imani za kusadikika tu. Kifupi katika maandiko yake huwa hajui anataka nini.
Umeandika kinyonge sanaSisi bado ni bora, tunaongoza ligina tutazidi kushusha vipondo
Unamsikiliza huyo jamaa kweli? Ni muongo, Mbeya na mfitini sana. Amejaa imani za kusadikika tu. Kifupi katika maandiko yake huwa hajui anataka nini.
Hauna Akili acha kunipotezea muda!!Umeandika kama vile unawasimulia watoto zako ambao hawatumii akili kufikiria.
1) ishu ya kubadilika kwa uwanja haiwezi kutokea Yanga wasijue kwasababu kisheria ni kwamba kunapotokea mabadiliko ya uwanja basi inatakiwa timu ijulishwe masaa 24 kabla na sio ishu ya uwanja tu bali mabadiliko yoyote ikiwemo hata muda wa mchezo. Hivyo laiti kama Yanga wangekuwa hawalijui hilo basi walikuwa na haki ya kuugomea mchezo.
2) kwenye mchezo wa mpira wa mguu kuna kitu kinaitwa pre match. Na hufanyika siku moja kabla ya mchezo, hapa ndipo kila tumu inawasilisha rangi ya jezi atakayoitumia katika mchezo husika ambapo mwenyeji ndiye anayepewa kipaumbele cha aina ya jezi kisha timu mgeni ndiye anayepaswa kuangalia rangi ya tofauti na ya mwenyeji.
Stori yako ya kusema yanga wamestukiziwa siku ya mechi kuhusu uwanja na jezi, kawadanganye wasiojua taratibu za mchezo wa soka
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app