Kwa Umafia huu mkubwa wa FA ya Mbeya, Ihefu FC wakisaidiwa na Watu wa Simba SC 'Unbeaten Record' ingeisha tu leo

Kwa Umafia huu mkubwa wa FA ya Mbeya, Ihefu FC wakisaidiwa na Watu wa Simba SC 'Unbeaten Record' ingeisha tu leo

Ni sheria gani hiyo shirika la mpira inalazimisha timu kuvaa/kutokuvaa jezi fulani, em nipe sababu ya msingi ya TFF kuwaambia Yanga wasivae jezi flani.!
Tulia mwananchi, hizo kanuni ziliwekwa na vilabu kupitia bodi yake, na ndani yake kuna wajumbe kutoka kila klabu ikiwemo Yanga. kwa hiyo nendeni mkamkabe mjumbe wenu mumuulize kwa nini alipitisha kanuni inayowalazimisha Yanga wasivae jezi nyeusi kila mechi?
 
Naanzaje kukuacha uendelee kupotosha na kuaminisha watu ujinga?
Ningekuwa Mpotoshaji ningekuwa Tajiri wa Followers hapa tena walio Great Thinkers wapatao 127 sasa na siyo Mpumbavu Mwandamizi Mmoja Wewe?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Kwa Kawaida Makomandoo wa Yanga SC na hasa Mganga wao Hatari hupenda Kutangulia (Kuwahi) Mkoa ambao Yanga SC inacheza kisha wanaanza Kuufanyia Umafia na Uchawi (Ndumba) Uwanja ambao Utachezewa.

Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%

Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.

Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.

Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.

Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.

Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.

Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.

Cc: Fundi mahiri wa ujenzi
Nakukubali sana Jasusi Gentamycine.
 
Kinachoniuma sio kufungwa Ila ni kuwa hela tumewapa na kutufunga wametufunga Kwa hisani ya kigere kigere
 
Kumbe chirwa na shishimbi walitembezewa bahasha kocha akawashtukia na kuwatia jukwaani kabisaaaaa
 
Kwa Kawaida Makomandoo wa Yanga SC na hasa Mganga wao Hatari hupenda Kutangulia (Kuwahi) Mkoa ambao Yanga SC inacheza kisha wanaanza Kuufanyia Umafia na Uchawi (Ndumba) Uwanja ambao Utachezewa.

Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%

Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.

Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.

Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.

Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.

Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.

Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.

Cc: Fundi mahiri wa ujenzi
Umeandika kama vile unawasimulia watoto zako ambao hawatumii akili kufikiria.

1) ishu ya kubadilika kwa uwanja haiwezi kutokea Yanga wasijue kwasababu kisheria ni kwamba kunapotokea mabadiliko ya uwanja basi inatakiwa timu ijulishwe masaa 24 kabla na sio ishu ya uwanja tu bali mabadiliko yoyote ikiwemo hata muda wa mchezo. Hivyo laiti kama Yanga wangekuwa hawalijui hilo basi walikuwa na haki ya kuugomea mchezo.

2) kwenye mchezo wa mpira wa mguu kuna kitu kinaitwa pre match. Na hufanyika siku moja kabla ya mchezo, hapa ndipo kila tumu inawasilisha rangi ya jezi atakayoitumia katika mchezo husika ambapo mwenyeji ndiye anayepewa kipaumbele cha aina ya jezi kisha timu mgeni ndiye anayepaswa kuangalia rangi ya tofauti na ya mwenyeji.

Stori yako ya kusema yanga wamestukiziwa siku ya mechi kuhusu uwanja na jezi, kawadanganye wasiojua taratibu za mchezo wa soka

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kwa Kawaida Makomandoo wa Yanga SC na hasa Mganga wao Hatari hupenda Kutangulia (Kuwahi) Mkoa ambao Yanga SC inacheza kisha wanaanza Kuufanyia Umafia na Uchawi (Ndumba) Uwanja ambao Utachezewa.

Hivyo basi baada ya FA ya Mkoa wa Mbeya (hasa Kiongozi wao Mmoja mwana Simba SC) Kugundua Janja ya Yanga SC (hasa Kiushirikina) kwa kuamini Mechi itachezewa Uwanja wa Sokoine haraka sana Mkakati mpya ulisukwa kwa Kushirikiana na Viongozi wa Ihefu FC na wale wa Simba SC ambao umefanikiwa kwa 100%

Wakiwa Wasiri kabisa FA ya Mbeya walijua kuwa Mechi haitocheza Sokoine ambako Yanga SC waliamini ungechezewa hapo hivyo kama Kawaida yao wakaanza Kuroga pasipokujua kuwa Wanaroga mahala ambako Mechi haitochezwa.

Huku Wao Yanga SC wakiroga Uwanja wa Sokoine wenzao wa Ihefu FC kwa Kushirikiana na K? Watu (Mafia) wa Simba SC (Walioko Kazini sasa kwa Michezo Michafu ili Kuipunguza Kasi Yanga SC) nao (Ihefu FC) wakawa Wanauroga vilivyo Uwanja wa Highland Estate ambao umechezewa huo Mchezo leo.

Baada ya Mkakati huu Kukamilika iliwabidi Ihefu FC na Viongozi wa FA ya Mbeya kwa Kusaidiwa na Mafia wa Simba SC ilitafutwa Mbinu mpya ya Kuwamaliza Yanga SC Kisaikolojia kwa kulenga kile Kitu ambacho huwa kinawapa Nguvu ambacho ni Matumizi ya Jezi yao Nyeusi iliyofanyiwa Ndumba Kali na Mganga wao Hatari na Kulazimisha iwe inavaliwa hiyo hiyo tu kwani nyinginezo hasa ya Njano waliyoivaa Leo ina Nuksi na hawaipendi ila hawana jinsi.

Na kweli mapema kabisa Jana Mchana Yanga SC (bila ya Kutegemea) waliambiwa na FA ya Mbeya kuwa Mechi yao ya leo dhidi ya Ihefu FC itachezewa Uwanja wa Highland Estate na siyo Sokoine ambako ndiko walikuwa Wameroga sana (tena kwa Kukufuru kabisa) hali iliyowavunja kabisa Nguvu na Kuchanganyikiwa na inasemekana hata Mganga wao (Yanga SC) alishawaambia kuwa Mechi ya leo 95% wanafungwa na 5% ndiyo za Kushinda au kutoka Sare.

Baada ya FA ya Mbeya jana Kuwamaliza Yanga SC juu ya Uwanja utakaotumika leo Asubuhi Taarifa ikatoka TFF kwenda FA ya Mbeya kuwataka Yanga SC wasiitumie Jezi yao Nyeusi (ambayo Yanga SC ndiyo wanaiamini kuwa ina Bahati Kwao na Mganga wao ameshaifanyia Ndumba sana) na Kuzingatia Kanuni za Ligi hali ambayo iliwashtua zaidi Yanga SC na kujua kuwa leo wamepatikana na kuingia Mtegoni ambako wakaishia kupata Kipigo kutoka kwa Timu dhaifu ya Ihefu FC.

Kipigo leo kilikuwa hakiepukiki kabisa.

Cc: Fundi mahiri wa ujenzi
Mzee wa kutunga stori (mzee wa propaganda) siku hizi mchezo wa mpira umekuwa watu wakiamka wanajiamulia tu. Endelea kudanganya wehu wenzio
 

Attachments

  • IMG_20221130_134634.jpg
    IMG_20221130_134634.jpg
    141.7 KB · Views: 1
Unamsikiliza huyo jamaa kweli? Ni muongo, mbeya na mfitini sana. Amejaa imani za kusadikika tu. Kifupi katika maandiko yake huwa hajui anataka nini.
swali, kwanini hamjavaa jezi zenu hizo nyeusi vs ihefu???
 
Unamsikiliza huyo jamaa kweli? Ni muongo, Mbeya na mfitini sana. Amejaa imani za kusadikika tu. Kifupi katika maandiko yake huwa hajui anataka nini.

Kwa hyo hakuna sheria ya jezi???hv we jamaa unajua nini kwenye soka??sasa kwanini kuna jezi ya home na ya away??bora uwe unapiga kimya tu muda mwingine
 
Umeandika kama vile unawasimulia watoto zako ambao hawatumii akili kufikiria.

1) ishu ya kubadilika kwa uwanja haiwezi kutokea Yanga wasijue kwasababu kisheria ni kwamba kunapotokea mabadiliko ya uwanja basi inatakiwa timu ijulishwe masaa 24 kabla na sio ishu ya uwanja tu bali mabadiliko yoyote ikiwemo hata muda wa mchezo. Hivyo laiti kama Yanga wangekuwa hawalijui hilo basi walikuwa na haki ya kuugomea mchezo.

2) kwenye mchezo wa mpira wa mguu kuna kitu kinaitwa pre match. Na hufanyika siku moja kabla ya mchezo, hapa ndipo kila tumu inawasilisha rangi ya jezi atakayoitumia katika mchezo husika ambapo mwenyeji ndiye anayepewa kipaumbele cha aina ya jezi kisha timu mgeni ndiye anayepaswa kuangalia rangi ya tofauti na ya mwenyeji.

Stori yako ya kusema yanga wamestukiziwa siku ya mechi kuhusu uwanja na jezi, kawadanganye wasiojua taratibu za mchezo wa soka

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hauna Akili acha kunipotezea muda!!
 
Back
Top Bottom