Hatuwezi kumuunga mkono mahabusu. Kama ni mtu wa kung'olewa, basi ni Shukuru Kawambwa!...
TUKIWEKA UDINI KANDO........KWA HILI SHEKH PONDA ALIONA MBALI!!!, WALAU AUNGWE MKONO KWA HILI.
Mkuu aya za dini yenu zinawazuia kujenga shule na kuziendesha mnavyo jua ninyi?akihutubia maelfu ya waislamu katika viwanja vya kidongo chekundu jijini dar es salam,katika kuhitimisha maandamano ya kupinga filamu ya kumkashifu mtume, shekh Ponda aliuwambia umma wa waislamu waliokuwa wakimsikiliza kwa makini wajiendae kwa maandamano makubwa na ya kisayansi ya kwenda kumg'oa Ndalichako NECTA ,kwa kuwa ameshindwa kazi .........na watu wote walio kuwepo uwanjani hapo, walimuunga mkono kwa kunyoosha mikono juu.
TUKIWEKA UDINI KANDO........KWA HILI SHEKH PONDA ALIONA MBALI!!!, WALAU AUNGWE MKONO KWA HILI.
Mahmoud Mringo ni nani mkuu?Utamng'oa Ndalichako, utamuondoa Waziri Kawambwa, lkn next year ndio watafeli maradufu.
Hii trend ya kufeli itaendelea towards the worst hadi watakapoibuka watu majasiri wa aina ya Mahamoud Mringo kuja kung'oa system nzima, ikiwa ni pamoja na kuthamini taaluma ya ualimu.
acha ujinga wewe.nadhani wewe ni miongoni mwa waliofeli au kama si wewe mwanao au ndugu yako. Ndalichako ajiuzulu kwa wanafunzi kujibu ujinga kenye mitihani ,ulitaka awape max wakati wanachora mazombe yanavuta bangi?wewe ni mtu wa namna gani?NDALICHAKO ANASTAHILI TUZO YA UTUMISHI ULIOTUKUKA. kumbika kabla hajaingia hapo NECTA watu walikuwa wanauza mitihani kama nyugu na mapepa yalikuwa yanazagaa mitaani hadi akina mama wanauzia vitumbua.Alifanikiwa kwakiasi kikubwa kuondoa na kusambaratisha mtandao wa watumishi hao hapo necta.na kwa sababu walikwishakuwa vingunge hapo walianza kumtafutia kashfa na hujuma mbalimbali lakini dactari huyu wa philosofia wa ukweli hajatetereka hadi leo.wewe huyajui hayo? au umezaliwa jana? wewe nikikuuliza ajiuzulu kwa lipi utajibu nini?yeye ni chombo huru cha kutunga na kusahihisha mitihani kwa mujibu wa silabasi.ninakushauri ukitaka ufaulu au ndugu yako afaulo ahesihimu shule na jiepushe na starehe.shule ina nidhamu yake shule zinazozingatia nidhamu na maadili ndio zilizofaulisha.Hapa simaanishi seminari za kikristo tuu hasha hata zile za kiislamu KAMA NYASAKA ISLAMIC YA MWANZA nimeiona matokeo yake ni mazuri kabisa. sasa wewe unasoma sekondari na mzazi wako anakununulia simu eti anakupenda badala ya kusoma unachati usiku mzima kwenye facebook na kuchangia mada jamii forum utafaulu?Tuache siasa kwenye mabo ya msingi BIG UP MAMA NDALICHAKOakihutubia maelfu ya waislamu katika viwanja vya kidongo chekundu jijini dar es salam,katika kuhitimisha maandamano ya kupinga filamu ya kumkashifu mtume, shekh Ponda aliuwambia umma wa waislamu waliokuwa wakimsikiliza kwa makini wajiendae kwa maandamano makubwa na ya kisayansi ya kwenda kumg'oa Ndalichako NECTA ,kwa kuwa ameshindwa kazi .........na watu wote walio kuwepo uwanjani hapo, walimuunga mkono kwa kunyoosha mikono juu.
TUKIWEKA UDINI KANDO........KWA HILI SHEKH PONDA ALIONA MBALI!!!, WALAU AUNGWE MKONO KWA HILI.
hebu soma hii toka Tanzania Daima ndo utaja Necta hawapo makiniNECTA wameshindwa kuweka database la ku sort shule online.
Nilikuwa nataka kuanza kuandaa Gap Analysis kati ya shule kumi bora na shule kumi zilizofanya vibaya kabisa, kulinganisha kuanzia uongozi, jiographia, resources etc kwa kadiri inavyowezekana.
Lakini sina hata pa kuanzia.
Data zipo, hili suala si natural disaster tuseme kwamba hawakujua matokeo yanakuja (hata natural disaster watu wanajiandaa)
Sasa hivi nikitaka kulinganisha shule kumi bora na kumi zilizofanya vibaya kabisa siwezi.
Kuna watu wana mi system inahitaji data tu kufanya analytics, hawana data.
Sie tuna mi data kibao imekaa tu, hatujui kui connect.
Hata ki website chenye simple database tu hatuwezi.
Aibu!